macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mkuu bora hata angekuwa diktekta kamili. Dikteta uchwara ni diktekta mjinga, hohehahe asiyejilewa na anayedili na vitu vvya kijinga. Tukisema ni diktekta wa daraja la juu tutampa ''ujiko'' ambao hana. Diktekta uchwara ni hovyo kuliko diktekta wakubwa.Huyu sasahivi ni dikteta kamili daraja la juu
Peleka huko upuuzi wako, misaada utatoa wapi, nyie makada sijui akili zenu kama zinafanya kazi, Gadafi aliondolewa na nani au Sadam Husseni?Marekani hawezi itisha nchi yoyote kwenye maswala ya ndani mana mkataba wa mahusiano ya kimataifa na diplomasia havi ruhusu hiyo kitu
Wewe mburula umeandika nini?Inabidi mbowe nawe hana doa, maana unaweza kura mbowe ana madhambi mengi kuliko waliomkamata
Hapana Mkuu. Mabeberu wamefanya yao na bado wataendelea kuwanyoosha hadi hicho kiti aone cha moto.Dikteta ameona aibu kuapishwa watu wakiwa rumande
Kweli mkuuMkuu bora hata angekuwa diktekta kamili. Dikteta uchwara ni diktekta mjinga, hohehahe asiyejilewa na anayedili na vitu vvya kijinga. Tukisema ni diktekta wa daraja la juu tutampa ''ujiko'' ambao hana. Diktekta uchwara ni hovyo kuliko diktekta wakubwa.
Tuliwaambia kesi ya ugaidi ni mwendelezo ule ule wa uongo wa vyombo vinavyojiita vya ulinzi na usalama hamkusikia.Magaidi huwa wanapewa dhamana? Polisi ukipewa maelekezo tumia na akili zako.
Dikteta anaamini kwa waganga wa kienyejiHapana Mkuu. Mabeberu wamefanya yao na bado wataendelea kuwanyoosha hadi hicho kiti aone cha moto.
Marekani hawezi itisha nchi yoyote kwenye maswala ya ndani mana mkataba wa mahusiano ya kimataifa na diplomasia havi ruhusu hiyo kitu
Kuna green guard tupuTuliwaambia kesi ya ugaidi ni mwendelezo ule ule wa uongo wa vyombo vinavyojiita vya ulinzi na usalama hamkusikia.
Ona sasa,
Ugaidi una dhamana?
Ana mapepo huyo wala usimjibuMagaidi huwa wanapewa dhamana? Polisi ukipewa maelekezo tumia na akili zako.
Tena meusi kama yeyeAna mapepo huyo wala usimjibu
Na iwe LAANA KUU kwake.Na j2 utamwona kanisani anapokea Sakramenti takatifu
Walipewa maelekezo na dikteta sasa baada ya Marekani na nchi za Ulaya kusimamia haki wameona poaHivi kesi ya ugaidi hapa Tanzania ina dhamana?
Haya ni maajabu mapya ya dunia.
Pamoja na kizazi chake cha 5Na iwe LAANA KUU kwake.
Wamemwachia tayari,hawana namna.Mwamuachia hawana namna
Wamefuata maagizo yanguWamwachie Zitto Kabwe haraka bila masharti
Asante baba yetu Marekani kwa kumnyoosha dikteta wetu mkuuWamemwachia tayari,hawana namna