Exactly hao jamaa ni kweli wapo na ndo wanaoshikilia mfumo mzima wa fedha dunian kupitia vtu kama WB&IMF,Jay Z,Kanye west,OBAMA ni baadhi ya watu wakubwa sana humo(pia angalia video ya jay z ya run this town ina ujumbe na ishara kubwa za hao majamaa) pia angalia kwenye dictionary kubwa wameelezwa humo pia unaweza kugugo habari zao zote zinamwagwa mpaka utasizi! N.B hao ndo wanaotupeleka kwenye kukamilisha historia ya ulimwengu huu!! SOMA MAANDIKO UPATE MAARIFA!! I wil b' back
aisee mimi pia nataka sana kujua habari za hawa freemasons, niliwahi kusikia tape moja, jamaa mmpja wa kenya akitoa ushuhuda wa haya mambo huko nchini kenya. anasema aliingia katika mazingira ya kutatanisha katika kundi hilo ila kwa kutoka alitoka akiwa kamaliza familia yake kwa kuwatoa sadaka. i wanna know more about hawa freemasons...
Jaman watanzania, tumesikia saana kuhusu Freemasons na madubwana mengine! Sasa naomba tushushe verse kila mtu anavyojua ili mimi baadae nina mpango wa kutoa article gazetini kuhusu hawa mabwana sasa naomba anayejua kuhusu Freemasons adondoshe news hapa!
Mimi binafsi naelewa ni familia ya mashetani ikishirikiana na Illuminati kwa lengo moja tu la kuharibu maisha ya watu duniani na kuwaingiza pabaya duniani baadae motoni! Inasemekana kushuka kwa uchumi chanzo chake ni wao Illuminati ambo wanaplan NEW WORLD ORDER na kwamba chini ya dunia sasa pana miji 150 ya kutisha tuseme majiji ya kimataifa na pengine pesa iko chini huku juu uchumi unashuka!
Inaelekea unawajua sana hawa jamaa. Kwahayo maelezo yako.
Unajua mkuu kuna ILLUMINATI NA FREEMASONS ni mara mia Freemasons kuliko Illuminati. Unajua siku hizi kuwa kuna mnatetemeko ya kutengenezwa?, Unajua kuwa kuna vita ya tatu ya dunia na sasa imeanza maandalizi yake?, unajua kuwa kuna new world order inakuja?, unajua kuwa kuna mpango wa kuwapunguza wanadamu duniani kote hadi bilioni moja tu? ili ukoloni uanze tena?:twitch:
Exactly hao jamaa ni kweli wapo na ndo wanaoshikilia mfumo mzima wa fedha dunian kupitia vtu kama WB&IMF,Jay Z,Kanye west,OBAMA ni baadhi ya watu wakubwa sana humo(pia angalia video ya jay z ya run this town ina ujumbe na ishara kubwa za hao majamaa) pia angalia kwenye dictionary kubwa wameelezwa humo pia unaweza kugugo habari zao zote zinamwagwa mpaka utasizi! N.B hao ndo wanaotupeleka kwenye kukamilisha historia ya ulimwengu huu!! SOMA MAANDIKO UPATE MAARIFA!! I wil b' back
Duh! Lakini ni nzuri kujua mkuu maana mimi ni mwandishi wa habari zisizoandikikana! hahahaha:twitch:
Mimi mwenyewe ni freemason nitawapa email yangu ili niwape siri zetu zote
khaaa!
Halafu mnakutanaga nyuma ya kempisk eeh?
hii mada kuna mtu alisha ifafanua kwa undani zaidi.jaribu ku-search kwenye archive utakuta kila kitu.
Mimi mwenyewe ni freemason nitawapa email yangu ili niwape siri zetu zote
Mimi mwenyewe ni freemason nitawapa email yangu ili niwape siri zetu zote