Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Ni kama kundi la vijana ukiwa bado sekondari ambao mnatokea sehemu moja.

Heshima kwako Mkuu,
-Are you the member of freemason?
-Do you know the meaning of freemason?

Unaposema ni kama kundi la watu wanaotokea sehemu moja, unataka kutushawishi kuwa Mkapa na Bush wanatokea sehemu moja?
 
kumbe wehu ni wengi,we jamaa hujui kabisa kuhusu freemason wala historia yako,kasome satanic bible utajua freemason ni kina nanai,je wajua ibada zao zinavyo endeshwa?wajua kafara zao zinavyokuwa?wajua kwa nn JF KENNEDY wa marekani aliuwawa?kufanya nao kazi na kukupa vimsaada usitake kushawishi watu upuuzi wako,ukizungumzia watu wenye uwezo hata shetani ana uwezo mkubwa tu kupita mtu yeyote duniani,vipi kuhusu hilo,so tujivunie na kusema vyema kisa shatani ana uwezo?fikiria mamadufu kabla ya kuropoka na kudhani wajua kuliko wengi
 
wajua kafara zao zinavyokuwa?wajua kwa nn JF KENNEDY wa marekani aliuwawa?

Labda anataka kujua kwa njia ya ku-challenge.
Illuminati blood sacrifices & solstice sacrifices:
To become the wealthiest ($20 million+ club) for a higher position and royalty from the elite, you need to make a human (blood sacrifice). Watch this video. The Illuminati have also sacrificed many celebrities as a human (solstice sacrifice). Watch this video.
BLOOD SACRIFICES FOR $ & FAME: PART 1, PART 2.
  1. Kanye West - his mom.
  2. Lil Wayne - his father and Static Major
  3. Jay-Z - his nephew.
  4. Damon Dash - Aahliyah
  5. James Prince - Pimp C.
  6. T.I - his Cousin, Dolla
  7. Suge Knight - Tupac
  8. Diddy - Biggie Smalls
  9. Ludacris - Camouflage
  10. Lady Gaga - Lina Morgana
  11. Nicki Minaj - her cousin.
  12. Soulja Boy - his brother.
  13. The Game - Billboard
  14. Eminem - Proof.
  15. 50 Cent - Jam Master Jay
  16. Dr. Dre - Nate Dogg, his son.
  17. Krayzie Bone - Tombstone
  18. KRS-One - Scott La’Rock
  19. Alicia Keys - her friend.
  20. Bill Cosby - his son.
  21. John Travolta - his son.
  22. Eddie Levert - his son.
  23. John Travolta- his son.
  24. Marie Osmond - her son.
  25. Obama - his grandmother.
  26. Heidi Montag - Dr. Ryan
  27. Anna Nicole Smith - her son.
  28. Mary-Kate Olsen - Health Ledger.
  29. Jennifer Hudson - whole family.
  30. Wyclef Jean - his father.
  31. Michael Jordon - his father.
  32. Mike Tyson - his daughter.
  33. Liam Neeson - wife.
  34. Cam’ron - Big L
  35. Jim Jones - Stack Bundles
  36. Queen Latifah - her brother.
  37. Venus/Serena Williams - their sister.
  38. Jackson Family - Michael Jackson
  39. N-Dubz - Father/Uncle/Manager.
  40. Joseph Gordon-Levitt - his brother.
  41. Jesse Jackson - Martin Luther King Jr.
  42. Louis Farrakhan - Malcolm X
  43. Prince - his father.
  44. Jamie Foxx - his grandmother.
 

Hivi hawa celebrities hawezi kufiwa na ndugu au watu wao wa karibu eeh? afu hapo si wote wamefika huko $20 million+ club.. tembelea forbes upate list
 
Now I know you can even compromise with the devil if you are blind spiritualy, inahitaji spiritual attempt kuelewa freemason na mabaya yao,Thank God anawaonyesha walio wake kujitenga nacho.kwa yeyote mwenye spiritual eyes freemasons si kundi la kushabikia hata kidogo,tazama viongozi wetu kila mmoja na zigo la pete lisilo la ndoa wala uchumba.
The devil will never win over God's people
 
hivi hawa celebrities hawezi kufiwa na ndugu au watu wao wa karibu eeh? Afu hapo si wote wamefika huko $20 million+ club.. Tembelea forbes upate list
hapo sasa mkuu,..yaani katohoa majina ya watu waliokufa ili tu kujustify uongo wake
 
hapo sasa mkuu,..yaani katohoa majina ya watu waliokufa ili tu kujustify uongo wake

Mkuu,
Sishangai your comment kwa kuwa on your side huenda ukajiona uko sahihi lakini ifahamike vizuri kuwa hawa freemason hutoa sadaka ya damu tena ya binaadamu.

Kama vile wewe unavyotoa sadaka kwa masikini au katika nyumba ya ibada ukategemea kupata dhawabu in return wao hutoa sadaka ya binaadamu kwa ili kupanda grade.
 

Kuna ushahidi wa kina zaidi kuhusu orodha hii wadau au ndio kuzidi kutishana?
 
haya mambo ni ya kweli angalia hata chupa ya maji ya kilimanjaro ina alama ya hao jamaa.
 
tazama viongozi wetu kila mmoja na zigo la pete lisilo la ndoa wala uchumba.
The devil will never win over God's people

Umenifungu macho ; maana kuna siku niliiona pete ya mkubwa mmoja bahati mbaya sikuwa karibu kiasi cha kutambua inscriptions zake
 
It is a negative power of positive thinking.Let man decide the most paying life style when he/she is alive and after death.
 
Najua kuna watu wanabisha kuhusu uwepo wa hawa jamaa lakini ni kutokujua,laiti wangejua wasingepoteza muda kubishana wangeingia kwenye internet na kuchimba hii kitu,itawasaidia!
 
Muhimu ni kuishi kwa MAADILI ya kidini na kuwafunza Wanetu maadili ili wasitumbukie katika Ushetani wowote ule uwayo.
ni rahisi sana kusema ila ni vigumu, hao watu wamo ndani ya dini zetu tena ni viongozi wa dini, Ask your self ndani ya uislamu hamna mafundisho wala historia inayoonyesha kuwa watu wanaenda kujitoa muhanga na kuwauwa watu wasio na hatia.Mtuma (S.A.W) wakati wake hakujawahi kusikia mtu anatoka na kwenda mtaani akiua makafiri wa makka kama sio kwenye mpigano. Mtume (S.A.W) alikuwa akiwasihi watu wake wasije wakawgusa watoto wala wanawake wakienda kwenye vita wala mti wasiuguse lakini angalia wanaojiripua wanaua watoto na wanawake na nafsi yake anaiua ambapo kisheria ni dhambi na anaingia motoni.These people wanawafundisha watu mafundisho ya uongo. Hawa watu wameweza kubadilisha maandiko ya dini zote ila ya waislamu wameshindwa ila wameweza kutengeneza wahuni wanaojiita magaidi kwa kuwapa fatwa za uongo na kufanya uislamu ni dini fujo na ni dini ya kumwaga damu.
 
Actually Jamaa ameeleza kidogo kuhusu Hawa freemasonic ila naona hajaelezea kuhusu historia ya hawa watu tangu walipoanza hadi wakafika hapa na ni nini target yao na wanafanya hivi kwa sababu gani.

Kwa haraka haraka kulikuwa na kundi la Knight Templers ambalo limeundwa na mayahudi hawa waliwasaidia sana Crusades katika kuwaondoa waislamu Spain, wakatumik tena katika kuondoa utawala wa waislamu Jerusalem wakafanikiwa baada ya mda wakaondolewa tena na waislamu. kabla ya kufukuzwa na waislamu jeshi la crusade Jerusalem hili kundi liliacha mafundisho ya biblia baada ya kufanikiwa kupata vitabu vilivyofukiwa na Nabii Suleiman (A.S), wakafuata mafundisho ya uchawi na ukaumuluti. baada ya kujulikana na viongozi wa dini hawa jamaa walikamatwa na baadhi yao wakafanikiwa kukmbia. Hawa jamaa wakakimbilia Scotland wakati huo Mfalme wa Scotland amezidiwa nguvu na utawala wa Malkia wa uingereza. Mfalme wa Scot wakawachukua na kuwatumia na wakafanikiwa, kwahiyo wakapata sehemu ni huru kwao kufanya mambo yao wakati huo huo walifanikiwa kumueka mkononi mfalme wa scot, baada mda Malkia elizabeth wakwanza akafariki na pakakosekana mtawala na Mfalme wa Scotland akatawala yeye na ndio ikawa mwanzo wa kuzaliwa UK.

Kwahiyo UK ndio ikawa ya kwanza kuwa chini yao ila hawakuwa na kiongozi anetoka ndani ya kundi lao. Baada Ya mda ndio wakajibadilisha jina na kujiita Freemason. Ila bado hawa jamaa walikuwa wanataka nchi ambayo watakuwa na full control, na France ndio ikawa katika radar yao. Theluthi tatu ya wananchi walikuwa masikini na matajiri walikuwa wachache hamaki zikapanda kwa wananchi na jamaa wakafanikiwa kusambaza propaganda na mapinduzi yakafanyika. Ila bado mtawala hakuwa wa kwao na jeshi la ulaya crusade wakapata habari kuwepo kwa hawa jamaa, kwahiyo wakakimbia bara ulaya na kwenda America.

Kama kawaida yao wakafanya vile vile walivyofanya ufaransa ila mara hii walihakikisha kiongozi anakuwa yahudi na ni member wa freemason ambae hakuwa mwengine zaidi ya George Washington na pesa yao ya mwanzo walimueka yeye na alama yao.

Ila yote haya ilikuwa ni kutayarisha mpango wao kupata ardhi ya kule jerusalem. Taifa la marekani likakuwa na wakashiriki katika mapinduzi yote yalofanyika bara ulaya na wakakaa viongozi waliotaka wao akiwemo Hitler.

Jinsi gani wataipata ardhi ya Jerusalem wakati iko chini ya utawala wa kiislamu na washaribu kuvamia wakiwa bado wako uingereza na wakashindwa. Njia rahisi ni kumtumia Hitler, hitler akafanikiwa kufanya kazi yao na mayahudi wakaonewa huruma mno. marekani na uingereza wakapendekeza mayahudi wapelekwe Jerusalem baada ya mda wakatoa baadhi ya majeshi na kuwapeleka huko na kuitawala jerusalem. lengo lao ni kuipata Jerusalem.

Ila jiulize kwanini Jerusalem, kuna nini Jerusalem na kwanini wanailinda mno Jerusalem mtu yeyote akiipinga anapindulia. Turudi kwenye dola moja, kuna alama ya pyramid ila kipande cha juu kina jicho moja ila bado liko hewani, ile alama inaonyesha ujio wa kitu fulani ila bado haijafika.

Sisi waislamu tunasema kuwa atakuja mtu moja na atakuwa na jicho moja, atatawala dunia, atawapoteza watu na kuwafanya wasahau muumba wao, ataipeleka dunia katika njaa. Na huyo si mwengine ni masihi dajjal, kwa wakristo wanamuita anti-crist .

Sasa huyo ndio wanaemsubiri na ndie wanaemuabudu na wanatayrisha ujio wake, na atatokea kule kule alipotokea Nabii Issa (A.S) (Yesu) nchini israel. Kwahiyo wanataka akija huyu mungu wao akute mambo tayari yeye anakuja kutawala tu.

Kuna suali linakuja How Israel state survived till now? Next article infuatia
 
Wandugu kuna tetesi eti hawa jamaa kuna mipira wameitoa kama misaada kwa shule za primary za Dar, mipira hiyo ni mingi sana na inasemekana ukisha chezwa mara moja unapasuka na haufai tena.

Je wana lengo gani, ebu wakuu tusaidieni.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…