Loketo amechina mwaka huu.Kuwa na adabu wewe dogo unapo tamka jina la rais mtarajiwa sema hivi MH TUNDU ANTIPAS LISSUView attachment 1561486
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna mwaga kilevi tunakwenda na LissuLoketo amechina mwaka huu.
Mtajutia kumuweka mfuasi wa Illuminati kugombea urais
Pombe kali zimemkomaza uso View attachment 1561519
Mkuu kwani kipi cha ajabu hapo??? Usiri?? Unadhan usiri umeanzia kwa Freemasonry?? Tafuta PYTHAGOREAN SECRET SCHOOL uone viapo vyake kabla haja-muinitiate mfuasi wake.Acheni upopoma someni vitabu
Sio yote wafaa kuyajua..My,huna unalolijua...hayapungui 900 takwimu ulipata kwa shehe yahya?au kwenye vijiwe vya kahawa, Mimi ni member kwenye hizo org, lions wapo zaidi ya 1.3m, sio member tu Bali ni kiongozi nicheki private nikupe elimu tuongee kwa ushahidi na vielelezo sio reference za kihuni.namba yangu ni 0754608152/0759005000, nikupe elimu, kweli usilolijua ni usiku wa Giza,Mimi ni snr.member na nipo GLT/GMT pia
Si vizuri kuwekewa mikono na kila anayejiita Mchungaji au Mtumishi mkuu,jiombee mwenyewe.Mbona uwezo huo unao kama umekiri wokovu na unaishi maisha matakatifu?Mtakuja kupandikiziwa mapepo.Ndo hayaaaa,ukipata hii clip uksisikiliza huyu aliyekuwa mchungaji kwa kutumia hizo nguvu,hamu ya kuombewa kwa kuwekewa mikono itakuishaView attachment 1340133
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatengwa na Mungu wa kweli,hayo ndiyo madhara makubwa.Ni faida zipi na hasara/ madhara yapi anaweza kuyapata aliyejiunga na Free mason?
Ukiona hivyo ujue yuko huko mkuu,ignore him.Ushahidi upo kila mahali ukiutaka utaupata.Halafu duh,na uovu wote walio nao bado unawakingia kifua,It's unimaginable.
Kizibo,most likely wewe ni Freemason,ila of a lower degree below 3.Ukweli wa uovu wao unaanza kufunuliwa kwa wanachama above three degrees.Uovu gani mkuu?? Mm nawakubali kinyama
Kwanza Ni watu wanaoamini ktk juhudi na matumizi ya akili kwa kiwango cha juu.
Kizibo
Mkuu nataka tu kuelewa tu, ni jinsi gani corona imesababishwa na lengo hasa ni lipi?Kizibo,most likely wewe ni Freemason,ila of a lower degree below 3.Ukweli wa uovu wao unaanza kufunuliwa kwa wanachama above three degrees.
Kizibo hivi watu wanaoua ili wanywe damu,wanao toa makafara ya watoto,wanaotumia aborted foetuses for their rituals,wanaotesa watoto wadogo ili wapate Adenochrome ya kuleta ujasiri au kurudisha ujana,wanaobaka watoto,wanaotumia kila mbinu ovu na chafu kupata fedha na kutawala wenzao kwa hila na kwa nguvu,wanaokunywa damu ya hedhi za wanaoitwa Scarlet Ladies utawapendaje.And that is who Freemasons are!Na remember hayo niliyo yataja ni machache tu,the list is long.Unashangaza kiukweli.
Kumbuka,and please remember,wanadamu tupo tulivyo leo:mateso mengi ya vita,maradhi yasiyotibika,njaa,mabadiliko ya hali ya hewa yanayotuletea dhiki nyingi kwa sababu ya vikundi hivyo viovu vya siri.Viko vingi,sio Freemasons tu,lakini agenda yao ni moja: kuiweka dunia chini ya utawala wa Shetani,Dajjal or the Antichrist,kwa kutumia kila mbinu ovu na chafu unimaginable!Utawala huo utakuwa wa kiwango cha ukatili ambacho binadamu hawajawahi kushuhudia.Covid-19 ni utapeli wao mkuu wa kutupeleka huko.Na yanayoendelea kwenye janga hili,kufungiwa ndani,kupewa fedha za kujikimu bila kazi,social distancing nk.ni conditioning kwa ajili ya kipindi hicho.Hii wanayoiita chanjo,ambayo kiujweli sio chanjo,ni maandalizi.Sasa how can you like them,huwajui mkuu.
Niliyoyaeleza ni sehemu ndogo sana ya uovu wao,there is much much more.Narudia, utawapendaje?Sikuelewi.
Kizibo,most likely wewe ni Freemason,ila of a lower degree below 3.Ukweli wa uovu wao unaanza kufunuliwa kwa wanachama above three degrees.
Kizibo hivi watu wanaoua ili wanywe damu,wanao toa makafara ya watoto,wanaotumia aborted foetuses for their rituals,wanaotesa watoto wadogo ili wapate Adenochrome ya kuleta ujasiri au kurudisha ujana,wanaobaka watoto,wanaotumia kila mbinu ovu na chafu kupata fedha na kutawala wenzao kwa hila na kwa nguvu,wanaokunywa damu ya hedhi za wanaoitwa Scarlet Ladies utawapendaje.And that is who Freemasons are!Na remember hayo niliyo yataja ni machache tu,the list is long.Unashangaza kiukweli.
Kumbuka,and please remember,wanadamu tupo tulivyo leo:mateso mengi ya vita,maradhi yasiyotibika,njaa,mabadiliko ya hali ya hewa yanayotuletea dhiki nyingi kwa sababu ya vikundi hivyo viovu vya siri.Viko vingi,sio Freemasons tu,lakini agenda yao ni moja: kuiweka dunia chini ya utawala wa Shetani,Dajjal or the Antichrist,kwa kutumia kila mbinu ovu na chafu unimaginable!Utawala huo utakuwa wa kiwango cha ukatili ambacho binadamu hawajawahi kushuhudia.Covid-19 ni utapeli wao mkuu wa kutupeleka huko.Na yanayoendelea kwenye janga hili,kufungiwa ndani,kupewa fedha za kujikimu bila kazi,social distancing nk.ni conditioning kwa ajili ya kipindi hicho.Hii wanayoiita chanjo,ambayo kiujweli sio chanjo,ni maandalizi.Sasa how can you like them,huwajui mkuu.
Niliyoyaeleza ni sehemu ndogo sana ya uovu wao,there is much much more.Narudia, utawapendaje?Sikuelewi.
Najua,ila yeye ndiye aliyejipa mamlaka hayo tu,kwa kuwa hukumu zake ni za haki,na hiyo ilikuwa wakati wa sheria,kwa wale wasioitii sheria.Under the New Testament,that is all over,sasa tunaokolewa kwa neema.Mkuu pole Sana. Mimi sio Freemason.
Pili, JE WAJUA (KWA MUJIBU WA BIBLIA TAKATIFU) KUWA MUNGU ANATOA KAFARA NA ANALIPA KISASI??
Kama unabisha sema niweke ushahidi wa kifungu
Tundu Antipas Lissu,mtetezi wa mashoga Ulaya.Aibuuu.........!Kuwa na adabu wewe dogo unapo tamka jina la rais mtarajiwa sema hivi MH TUNDU ANTIPAS LISSUView attachment 1561486
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unamjua mtetezi wako![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tundu Antipas Lissu,mtetezi wa mashoga Ulaya.Aibuuu.........!
Mimi siko Ulaya na sio shoga,kwa hiyo kwa hiyo Lissu hawezi kuwa mtetezi wangu.Lakini kwa bahati nzuri,mimi sio shoga,na sitakuja kuwa shoga,kwa kuwa ni dhambi na kinyume cha maagizo ya Mungu.Kumbe unamjua mtetezi wako![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asifuye mvua basi imemnyesheaMimi siko Ulaya,hata kama ni shoga,kwa hiyo sio mtetezi wangu.Lakini kwa bahati nzuri,mimi sio shoga,na sitakuja kuwa shoga,kwa kuwa ni dhambi na kinyume cha maagizo ya Mungu.