Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Si mashariti yetu kukupa kila kinachofayika kuhusu sisi kwa mtindo huu unaotaka wewe. Ukitaka kujua mengi jiunge nasi ili ufahamu kwa undani mengi zaidi kuhusu sisi. Vinginevyo hapa utapoteza muda bila kupata hapari zetu kwa undani.

Kwani nani kakuambia mimi nataka kujua kama we ni member au lah!? Sihitaji kujiunga na ninyi hvyo kama hauhitaji kusema chochote piga kimya,kwanza waliojisikia wameshanielimisha sana!
 
jaman hivi kwel nani mwenye huakika na haya mamb ya free marson au ni maneno ya mitaan

kaka, soma vitabu vya watumishi wa mungu juu ya hili, omba mungu katika roho akufunulie wewe kama wewe upate kujua ukweli na jinsi ya kwenda. Let god show you the fact, watu watakudanganya tu.
Freemson ni wasomi sana huwezi shindana nao kirahis kwa hoja, ila kwa neno na nguvu ya mungu.
 
Ni kweli kwamba hawa jamaa wanamiliki mitandao ya kijamii kama vile facebook,tweeter nk?

hiyo ni kweli... hawa jamaa kaulimbiu yao ni kutoa misaada ili waweze kuwateka watu. na wana alama nyingi tu ambazo ukidadisi hupati majibu zaidi ya maswali mengi. ni wajanja sana hawa jamaa na wanatumia pia namba kuruin watu.lengo lao hasa ni kucontrol uchumi wa dunia na kuifanya dunia iwe na dini moja. angalia hiii. NMB mobile kujiunga na kutumia service zao ni *150*66*123# hizo namba ukizijumlisha utapata 1+5+0=6 na pia 1+2+3 = 6 hivyo kufanya namba 666 ambayo ni namba yao ya kishetani. pia kumbuka kuwa september 11 ni siku maalumu ya dharula marekani na hiyo siku hutokea siku ya 245 = 2+4+5= 11. hiyo siku pia ni siku ya 111 kabla ya mwaka kuisha. Pia namba 13 kwao huita namba ya mkosi hivyo huipinga sana hawa jamaa. nenda hoteli yoyote ile ya kitaliii ukacheki kama utapata chumba namba 13 ama jengo lolote lile la ghorofa kama utakuta zipo 13. Je ulishajiuliza kwa nini kwenye football wachezaji wanakuwa 11?, pia ushajiuliza kwa nini worldcup 2010 zilianza 11 june na kumalizika 11 july?
mwisho angalia alama ya shirika la msalaba mwekundu na angalia nembo ya barcelona ina nini? coincedence? Under freemason no coincedence. Awa jamaa wanavyojiita red devils , the blues nk MIND YOU WANAMAANISHA. Pia soma gazeti la TAZAMA kila jumapili utashangaa namna dunia ilivyo....... ....."watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa......"
 
Jambo watu siolijua ni kuwa haya mambo ni mapana sana,freemason ni chama cha siri kilicho ndani ya Illuminati,sawa sawa na lions club,bilbegers,skull and bones n.k,kila chama kina kazi yake,mfano skull and bones kazi yake ni kuhakikisha marais wote hasa Marekani wanatoka ndani ya Illuminati,marais wote wa Marekani ni wanachama wa Illuminati,kuanzia George Washingoton mpaka Barak Obama,kuna marais wawili tu ndo haijulikani kama walikua wanachama ama la,marais hao ni Abraham Lincoln na John F Kennedy.Illuminati taratibu zao ni za mtindo wa Babeli,na familia ya kifalme ya Uingereza na Marekani blood line inayotoka kwenye familia 13 zinazounda Illuminati,na familia hizi ukizitrace zinaenda mpaka kwa Farao na mwishowe Babeli na hatimae Nimrodi!So kile kilichotokea Babeli ndo kinachotokea leo,na ndio maana Mungu akasema dunia itaongozwa na mnyama wa namba 666,hii namba asili yake ni miungu 36 iliyokua inaabudiwa Babeli,unaweza kuipata namba 666 kwa kujumlisha miungu yote 36 kwa mtindo huu,1+2+3+4+5+6+7...,.Mpaka 36!
 
Ni kweli haifunguki hata mimi nimejaribu. Lakini unaweza uka-google " the secret of the convenant" mambo yatakuja ujionee mwenyewe. mmhhhh!! kwa kweli yanatisha na kuchanganya sana.
Mbona mi nimeifungua imekubali faster.
 
Jaman mambo yanatisha,had naogp!bt Mungu ndo anajua mwisho wa yote kwan kila linalotokea liliandikwa na final yake ipo!
 
freemason is just part of world so don,t afraid so much coz every thing has target time.
 
Unayo sema kweli ila umesahau,mitandao yote ya kijamii kama fb,twitter,bbm yote ni yakwao.mpango wao ni kufanya dunia kuwa kijj,ili baadae kuwe na rais mmoja ambaye ni lucifer,ndo maana wameleta sim,iyo mitandao ya kijamii wana tumia madhehebu ya dini,kwa kifupi wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.
 
kaka, soma vitabu vya watumishi wa mungu juu ya hili, omba mungu katika roho akufunulie wewe kama wewe upate kujua ukweli na jinsi ya kwenda. Let god show you the fact, watu watakudanganya tu.
Freemson ni wasomi sana huwezi shindana nao kirahis kwa hoja, ila kwa neno na nguvu ya mungu.
tatizo hata hivi vitabu vya dini wamevichakachua mno ili tu kumis lead watu halafu tukumbuke kuwa hawa wanavisoma sana vitabu vya dini ila wanavichakachua kwa manufaa yao wenyewe na kufanya global manipulation the world is no longer safe place.kila kitu kipo kimtegomtego
 
Helloo Nijuavyo mimi bado mgeni humu ila nahitaji msaada wa kujua mambo machache kuhusu machafuko ya nchi nyingi duniani kuhusishwa na free masons je hawa jamaa ni akina nani asili yake na malengo yake me ndo hayo tu
 
Masonic Dollar
 

Attachments

  • masonicdollar1.jpg
    masonicdollar1.jpg
    113.8 KB · Views: 133
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom