Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 661
Hakuna hata 1 anaye jua chochote humu wote wanahisi tu, www.yandex.ru katafute hapa
Asante kwa mchango wako pia,ila hata hao wengine wamenielimisha vilevile!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna hata 1 anaye jua chochote humu wote wanahisi tu, www.yandex.ru katafute hapa
Si mashariti yetu kukupa kila kinachofayika kuhusu sisi kwa mtindo huu unaotaka wewe. Ukitaka kujua mengi jiunge nasi ili ufahamu kwa undani mengi zaidi kuhusu sisi. Vinginevyo hapa utapoteza muda bila kupata hapari zetu kwa undani.
jaman hivi kwel nani mwenye huakika na haya mamb ya free marson au ni maneno ya mitaan
Ni kweli kwamba hawa jamaa wanamiliki mitandao ya kijamii kama vile facebook,tweeter nk?
Una uhakika? Au ndo yale mambo ya wasabato kuhusianishamaneno yaliondikwa kwenye kofia ya pope... Vicarius fili dei...na namba 666 of which is wrong ...papa jonn paul naye yupo
Mbona mi nimeifungua imekubali faster.Ni kweli haifunguki hata mimi nimejaribu. Lakini unaweza uka-google " the secret of the convenant" mambo yatakuja ujionee mwenyewe. mmhhhh!! kwa kweli yanatisha na kuchanganya sana.
Napenda niwe freemanson!
freemason is just part of world so don,t afraid so much coz every thing has target time.
tatizo hata hivi vitabu vya dini wamevichakachua mno ili tu kumis lead watu halafu tukumbuke kuwa hawa wanavisoma sana vitabu vya dini ila wanavichakachua kwa manufaa yao wenyewe na kufanya global manipulation the world is no longer safe place.kila kitu kipo kimtegomtegokaka, soma vitabu vya watumishi wa mungu juu ya hili, omba mungu katika roho akufunulie wewe kama wewe upate kujua ukweli na jinsi ya kwenda. Let god show you the fact, watu watakudanganya tu.
Freemson ni wasomi sana huwezi shindana nao kirahis kwa hoja, ila kwa neno na nguvu ya mungu.