Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu kinyau, illuminati wapo kila sehemu,na wala usishtushwe na alama ya nyoka muhimbili kwa sasa utaumia kichwa tu. Kumbuka huu ni mfumo (order) iliyokuja baada ya ukoloni kwa kuwa our traditional ways hazikuwa na symbol hizi. Jaribu kufikiri nini maana yanyoka hospitali pamoja na ubaya wa nyoka kwenye maandiko ya mungu? jibu kizungumkuti ndugu yangu. Ila ngoja nikutoe tongotongo, Ukisoma kitabu cha mwandishi aneitwa Andrew Weil kinachoitwa "Health and Healing" basi utapata kujua historia ya nyoka hospitali. Pia angalia nembo za mataifa mbalimbali, hata ya tanzania, utaona Ill-Utouched-Masters-In-NATIons
Hapo kwenye green cjaelewa kabisa. Kitu gani kinaashiria illuminati kwenye nembo ya Tanzania?Ndugu yangu kinyau, illuminati wapo kila sehemu,na wala usishtushwe na alama ya nyoka muhimbili kwa sasa utaumia kichwa tu. Kumbuka huu ni mfumo (order) iliyokuja baada ya ukoloni kwa kuwa our traditional ways hazikuwa na symbol hizi. Jaribu kufikiri nini maana yanyoka hospitali pamoja na ubaya wa nyoka kwenye maandiko ya mungu? jibu kizungumkuti ndugu yangu. Ila ngoja nikutoe tongotongo, Ukisoma kitabu cha mwandishi aneitwa Andrew Weil kinachoitwa "Health and Healing" basi utapata kujua historia ya nyoka hospitali. Pia angalia nembo za mataifa mbalimbali, hata ya tanzania, utaona Ill-Utouched-Masters-In-NATIons
Ndugu yangu kinyau, illuminati wapo kila sehemu,na wala usishtushwe na alama ya nyoka muhimbili kwa sasa utaumia kichwa tu. Kumbuka huu ni mfumo (order) iliyokuja baada ya ukoloni kwa kuwa our traditional ways hazikuwa na symbol hizi. Jaribu kufikiri nini maana yanyoka hospitali pamoja na ubaya wa nyoka kwenye maandiko ya mungu? jibu kizungumkuti ndugu yangu. Ila ngoja nikutoe tongotongo, Ukisoma kitabu cha mwandishi aneitwa Andrew Weil kinachoitwa "Health and Healing" basi utapata kujua historia ya nyoka hospitali. Pia angalia nembo za mataifa mbalimbali, hata ya tanzania, utaona Ill-Utouched-Masters-In-NATIons
Apollo,una matatizo!Kwanza kubali hujui ili ueleweshwe!Jicho,msalaba na triangle havina uhusiano kabisa na ukristo,RC from the begining ni illuminat plan,don't trust them,Yesu alisema Mungu ni roho na wamwabuduo watamwabudu katika roho na kweli!Alama hizo asili yake ni babel iliyokuwa inaongozwa na Nimrodi,pembe tatu ina maana nyini ila mojawapo ni kiwakilishi cha utatu wa kipagani(Isis,Horus na Osiris)jicho ni symbol ya Lucifer,msalaba ni alama ya mungu mke(osiris)iliyokua inatumika kuangamiza miungu wageni,tafuta kwenye internet kitabu kinachoitwa Morals and Dogma,Lucifer the light berer!Kimeandikwa na Albert Pike!Nitarudi kukufafanulia zaidi!
Who did they kill? Hawa jamaa hawana la maana. Imagine kama watu wenye maarifa bongo wakaunda tawi la networking. Wataogopwa na watu wengi maana ni watu wenye akili na wanashika usukani katika nyanja mbalimbali. Halafu hapo hapo, kujiunga nao ni vigumu, basi porojo za mtaani hazitachelewa kuanza.
kwako kila kilichoandikwa na kuwekwa mtandaoni ni ukweli usio na mawaa ? pole sana bro.
acheni kupeana presha. Kama una hekima ya kutosha find out nani anayezitoa habari zao.? Utakuja kugundua ni wenyewe. Sasa basi fikiri kwa makini uelewe mambo kimsingi.
Amin mungu wako plz.achana na iman