Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Kila mmoja wao
amekuwa akieleza namna anavyojua kuhusu FREEMASON.

Kuanzia MEDIAs, magazeti, na hata mtu mmoja mmoja.

Vile vile kumejitokeza watu ambao wamebuni na kuanzisha
mitandao(website) wakizifanya eti ni official website ya FREEMASON.

Huwa naishia kucheka tu, ILA LEO NI FURSA PEKEE YA WATANZANIA WOTE
KUIFAHAMU FREEMASON.

Kabla sijaenda mbali kuna bwana mmoja alijitambulisha kama sir Andy
Chande, ni kiongozi wa Freemason East and central Africa,
Leo mjue ukweli, japo mimi si msemaji, lakini huyo bwana
hatumjui
na hakuna cheo kama alichojitambulisha nacho.

nijuavyo Father Damian Irungu ndiye kiongozi wa master/gland lodge zote
za kenya na ndiye anasimamia za Goma, Moshi, na Entebe. ila sikatai Sir
Chande kuwa januari 2010-2012 amewahi kusimamia michango ya moja ya
"nyumba zetu".


Na kama atatokea hadharani kubisha ukweli huu, nami nipo tayari
kujitokeza tukakaa mezani tukahojiana ukweli.

Nakaribisha maswali nami nitajibu kwa wepesi kadri niwezavyo.

karibu

"mungu pamoja nasi",

Ni nini makusudi yako katika kuelezea habari za freemason???
 
Kila mmoja wao amekuwa akieleza namna anavyojua kuhusu FREEMASON.

Kuanzia MEDIAs, magazeti, na hata mtu mmoja mmoja.

Vile vile kumejitokeza watu ambao wamebuni na kuanzisha mitandao(website) wakizifanya eti ni official website ya FREEMASON.

Huwa naishia kucheka tu, ILA LEO NI FURSA PEKEE YA WATANZANIA WOTE KUIFAHAMU FREEMASON.

Kabla sijaenda mbali kuna bwana mmoja alijitambulisha kama sir Andy Chande, ni kiongozi wa Freemason East and central Africa,
Leo mjue ukweli, japo mimi si msemaji, lakini huyo bwana hatumjui na hakuna cheo kama alichojitambulisha nacho.

nijuavyo Father Damian Irungu ndiye kiongozi wa master/gland lodge zote za kenya na ndiye anasimamia za Goma, Moshi, na Entebe. ila sikatai Sir Chande kuwa januari 2010-2012 amewahi kusimamia michango ya moja ya "nyumba zetu".


Na kama atatokea hadharani kubisha ukweli huu, nami nipo tayari kujitokeza tukakaa mezani tukahojiana ukweli.

Nakaribisha maswali nami nitajibu kwa wepesi kadri niwezavyo.

karibu

"mungu pamoja nasi",

Tutajuaje kama na wewe sio wale wale?
 
Nauliza je ni kweli wee ni mchawi maarufu na mfuga majini mpaka unaogopekag huko unakoishi
 
hizo ni lines katika ngoma ya fid q ft Juma nature inaitwa siri ya mtungi

Teh teh !!! Kweli nimepatikana hata ukinambia wimbo wa mwisho wa Diamond unaitwaje sjui coz habar za bongofleva sjui dance n.k nishatoaga kabisa ushabiki..
 
Kaka niko mkoani
naomba kujua jinsi ya kujiunga,
pia masharti ya kujiunga.
 
munamuonea bure jamani mtoto wa watu ndiyo kamaliza F4 juzi tu, kafanikiwa kupata kimchina cha dingi alchokitupaga kwenye droo ndo anakitumia kujaribu kama kinaweza ku post Jf,in short ni kuwa hajui lolote kuhusu hayo mambo,na yeye mwenyewe aliskiaga tu kwenye kisimu cha rafiki yake chenye clip flani ya kanumba inayodanganya kuhusu hizo mambo.
 
munamuonea bure jamani mtoto wa watu ndiyo kamaliza F4 juzi tu, kafanikiwa kupata kimchina cha dingi alchokitupaga kwenye droo ndo anakitumia kujaribu kama kinaweza ku post Jf,in short ni kuwa hajui lolote kuhusu hayo mambo,na yeye mwenyewe aliskiaga tu kwenye kisimu cha rafiki yake chenye clip flani ya kanumba inayodanganya kuhusu hizo mambo.




kwi kwi kwi kwi teh! Teh! Teh! Mamaaaaaaa mbavu zanguuuuu!
 
Mbona kama umeshasepa kiaina hivi?
Mcheza Karate, ni kweli ajali ya emvi spaisi ninyi ndio wahusika? Kwa nini?
 
Last edited by a moderator:
Mbona hueleweki wewe?

Ushasema sir andy chande hamumjui kabisaaaa,,sasa hapo hapo tena unasema lakini.haukatai kwani mwaka 2010-2012

alishawahi kusimamia moja ya majengo yenu,,umeanza kukikanyaga.mapema sana nna wasiwasi hufahamu chochote juu ya hiyo (secret society),,
wajenzi huru ama
freemason
 
Kila mmoja wao amekuwa akieleza namna anavyojua kuhusu FREEMASON.

Kuanzia MEDIAs, magazeti, na hata mtu mmoja mmoja.

Vile vile kumejitokeza watu ambao wamebuni na kuanzisha mitandao(website) wakizifanya eti ni official website ya FREEMASON.

Huwa naishia kucheka tu, ILA LEO NI FURSA PEKEE YA WATANZANIA WOTE KUIFAHAMU FREEMASON.

Kabla sijaenda mbali kuna bwana mmoja alijitambulisha kama sir Andy Chande, ni kiongozi wa Freemason East and central Africa,
Leo mjue ukweli, japo mimi si msemaji, lakini huyo bwana hatumjui na hakuna cheo kama alichojitambulisha nacho.

nijuavyo Father Damian Irungu ndiye kiongozi wa master/gland lodge zote za kenya na ndiye anasimamia za Goma, Moshi, na Entebe. ila sikatai Sir Chande kuwa januari 2010-2012 amewahi kusimamia michango ya moja ya "nyumba zetu".


Na kama atatokea hadharani kubisha ukweli huu, nami nipo tayari kujitokeza tukakaa mezani tukahojiana ukweli.

Nakaribisha maswali nami nitajibu kwa wepesi kadri niwezavyo.

karibu

"mungu pamoja nasi",

Majengo yenu mmetoa wapi nyie njaa tupu,

All of you, you are property of lucifer and you shall accompany him to the Hell fire cause you sell your souls to him just for world treasures and you shall spend eternity in hell fire if you will not repent and leave your wickedness and surrender you life to JESUS CHRIST.
 
Mbona hueleweki wewe?

Ushasema sir andy chande hamumjui kabisaaaa,,sasa hapo hapo tena unasema lakini.haukatai kwani mwaka 2010-2012

alishawahi kusimamia moja ya majengo yenu,,umeanza kukikanyaga.mapema sana nna wasiwasi hufahamu chochote juu ya hiyo (secret society),,
wajenzi huru ama
freemason

Baba mdogo anamkana baba mkubwa
afu cha kustaajabisha baba mkubwa anajua kuieleza kuliko hata huyo baba mdogo
kuna siku alifunguka Clouds tv mwanzo mwisho
nimekubali kuwa jini maimuna linamkana jina makata!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom