Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Hizi zote ni imani ambazo zimeingia katika mawazo yetu na tunalazimishana kuamini hivyo,kila mtu anamnyooshea kidole mwenzie ni free manson ila sijamuona mtu akaja na ushuhuda hapa kuwa yeye ni freemanson.Ndiyo mana hata mtu akiuliza jinsi ya kujiunga ni porojo tu zinapita
Imani kali ya ukatoliki ndio ilimzuia mwalimu kuingia katika freemason lakini kuna wakati ilikuwa karibu kuingia kutokana na mashinikizo mbalimbali ya marafiki zake kama kina Chifu Fundikira, George Kahama na wengineo. Kwa Tanzania mwanzoni llikuwa kundi la Wazungu na wahindi tu lakini baadae wakajiunga kina sisi na kimantiki ni kuwa kundi hili lilitambulika kuwa muhimu katika kurahisisha mafanikio kibiashara na kisiasa.

Kuhusu Ben hakuna ubishi ni mmoja wao na ndiye alikuwa chaguo lao hata miaka mitatu kabla ya uchaguzi wa 2005. Wapo wengi tu lakini kutokana na ukame wa information miongoni mwa watanza tunaishia kuwaita dini ya mashetani.

Ni kweli kuwa kwa nje freemason inapswa kuwa kundi la watu waliojitolea kutumia elimu, vipaji na uwezo wao kisiasa, kiuchumi na kijamii kusaidia jamii zao na dunia kwa ujumla. Lakini kama ilivyo makundi mwengine mengi yanayoendeshwa kwa usiri, Freemasonry imekuwa kundi la kulinda, kuunganisha na kuendeleza ufisadi. Lakini hali hii inatofautiana kutoka chapter/lodge moja haid nyingine..

Makundi mengine yanayoshabihiana na hili na mara nyingi huwa ni front ya freemasonry ni Rotary Clubs, Lion Clubs na hata rotaract ambayo mara nyingi huwa ni recruitment ground for young members.

Kitabu cha Andy Chande ni muhimu kukisoma ingawa kuna mengi yalilazimishwa kuondolewa kwa maslahi ya kundi hilo, serikali kadhaa na wanasisa na watu binafsi.

Tanzanianjema
 
..nimekukubali mzee nimepata elimu kidogo kuhusu hawa mabazazi
unajua sheikh yahaya ktk prog yake ya jumatatu ktk chanel 10 anawadanganya watu kinoma maana kila kitu kwake kina alama ya mashetani na freemansons...



Ukifuata ushauri wa Sheikh Yahya hata kula ama kuangalia tu JF utaona ni dhambi. Elimu ni kitu muhimu sana hapa duniani, tumepewa na Mwenyezi Mungu ili tujitambue sio tu kudanganyika na kukubali kila ujinga tuambiwao na hawa kina Sheikh Yahya na wazungu wa unga kina Mama Rwakatare na wachungaji fake dizaini ya Mwingira.
 
Ukifuata ushauri wa Sheikh Yahya hata kula ama kuangalia tu JF utaona ni dhambi. Elimu ni kitu muhimu sana hapa duniani, tumepewa na Mwenyezi Mungu ili tujitambue sio tu kudanganyika na kukubali kila ujinga tuambiwao na hawa kina Sheikh Yahya na wazungu wa unga kina Mama Rwakatare na wachungaji fake dizaini ya Mwingira.
Dunia imewekwa kwenye WOGA na HOFU kubwa huku mabazazi hao wakivuna kwa ulaiiin.
 
ni kweli wengi wao ni wanachama wa chini, ila viongozi wa dini ni wengi na wanahitajika zaidi ili kufikia mission yetu ya kuwa na dunia yenye amani.

Acha kudanganya watu.
Eti viongozi wa dini wanahitajika kufanya nn,
Unafikiri watu hatujui kuwa.hii ni kazi ya lucifer kutoa makafara?
Tushafunguka sikunyingi
Mnanwaga damu za watu kwaajili ya kuimarisha madhabahu zenu nani asiyejua!!!
Na kazi yenu ni kuharibu image ya kanisa kupitia viongozi wa dini ila ss mjipange Roho wa Mungu yupo kazini.

Jamani cjui tu jinsi ya ku share video hapa watu wangejionea hawa secret code mambo wanayoyafanya
 
Acha kudanganya watu.
Eti viongozi wa dini wanahitajika kufanya nn,
Unafikiri watu hatujui kuwa.hii ni kazi ya lucifer kutoa makafara?
Tushafunguka sikunyingi
Mnanwaga damu za watu kwaajili ya kuimarisha madhabahu zenu nani asiyejua!!!
Na kazi yenu ni kuharibu image ya kanisa kupitia viongozi wa dini ila ss mjipange Roho wa Mungu yupo kazini.

Jamani cjui tu jinsi ya ku share video hapa watu wangejionea hawa secret code mambo wanayoyafanya

Kwel kabsa
 
you have a very good talent of speculating things which are highly and mostly hidden. Things which are very essential for living souls, they are great great knowledge to people as they see but don't understand,using with out realizing.
 
Wausubiri tu moto wao wa ahera hao wanaojiita ma freemanson, sahv ndio wanakula bata ila cha moto watakiona
 
Jamani hao freemasons na sisi watenda dhambi nyingine...moto ni ule ule...kwa Sir God dhambi zote sawa...so think before u judge!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom