Freemasons ndani ya Makanisa

Freemasons ndani ya Makanisa

Source yeyote ya kanisa la rumi baada ya 1054 ni kwa ajili ya waaminio hilo kanisa tu ila kwa wengine ni propaganda tu ......kwahio yote hayo ulioandika yana ukweli kwa mtizamo wa kirumi tu na vikanisa vyake vilivyo anzia kwao...........siku zote huwezi kuamini source za magharibi kukupa taarifa za maisha ya mashariki.....kwa upendo gani akuweke wazi ili afunike agenda zake? Huyo unae mquote mwenyewe tayari ni uzao wa warumi.......
Huyo anamquote ni mmarekani ambaye naye pia ni zao la warumi
 
Wasabato wanatumia calender ya freemason freemason (roman calenders) kwanin wasabato mnatumia kalender ya warumi na sio calenders ya kisabato
unataka elimu kuhusu calendar? wayahudi hadi kesho wanatumia jews calenda na ndio waliopewa mausiq nq MUNGU, lkn sqbto ni jummosi

una ushahidi upi tunatumia calenda ya rumi?

sisi hata siku haianzi saa 6,kama rumi ilivyobadili majira na sheria za MUNGU

"NAYE ATAAZIMU KUBADILI MAJIRA NA SHERIA..." DANIEL 7:25,

ONA SASA HAPA JINSI MAJINA YA SIKU ZA WIKI YALIVYOBADILISHWA NA KUPEWA MAJINA YA MIUNGU YA RUMI NA MIUNGU MINGINE YA MAKABILA MBALIMBALI. AJABU NI KUWA KATIKA LUGHA NYINGI SIKU YA JUMAMOSI (SATURDAY) BADO INATAMBULIKA KAMA SIKU YA SABA (KIYAHUDI - SABATO (YAANI SIKU YA 7)| KI-ITALIANO SABATO (YAANI SIKU YA 7)| KISPANISHI - SABADO (YAANI SIKU YA 7)| KIFARANSA - SAMEDI (YAANI SIKU YA 7) | N.K
 
roman empire ilipoanguka tu ,kilichoibuka ni roman catholic ,hii inathibitishwa hata na biblia

Nabii Danieli anaiona PEMBE NDOGO inazuka ghafla ambayo iko kwa namna hii,
"..... na tazama, katika pembe hiyo MLIKUWA NA MACHO KAMA MACHO YA MWANADAMU, na KINYWA KILICHOKUWA KIKINENA MANENO MAKUU"- (Dan.7:8)
-Pembe Ndogo inaonekana ina macho kama ya mwanadamu, na mbaya zaidi Pembe Ndogo INANENA MANENO MAKUU. Hapa tunakuja kumwona Nabii Yohana akija kuzungumzia juu ya Pembe Ndogo aliyoiona Nabii mwenzake Danieli, lakini Yohana katika njozi yake alimwona Mnyama akitokea Baharini- (Ufu.13:1). Mnyama toka Baharini ndiyo yuleyule anayezungumziwa na Nabii Danieli kama Pembe Ndogo. Sasa, tabia ya Mnyama toka Baharini naye ANANENA MANENO MAKUU tena YA MAKUFURU. Nabii Yohana alisema,
"Naye akapewa kinywa cha kunena MANENO MAKUU, YA MAKUFURU"- (Ufu.13:5)
-Naam, baada ya Utawala wa Rumi ya Kipagani, kilichofuata ni Utawala wa Rumi ya Kidini, yaani Upapa(Sio Papa, bali ni Upapa), hivyo Pembe Ndogo au Mnyama toka Baharini ni Upapa ambao umetokea kwenye ufalme wa Rumi ya Kipagani na ndo maana analiongoza kanisa la Roma(Roman Catholic Church), yaani katika Ufalme wa Roma, kuna kanisa ambalo linaongozwa na Pembe Ndogo. Lakini, tunaona Pembe Ndogo inanena MANENO MAKUU YA MAKUFURU. Je, KUFURU NI KITU GANI? Kamusi ya Kiswahili Sanifu, Uk.278 inasema,
"Kufuru ni sema jambo ambalo ni kinyume na imani ya dini "
-Kumbe, Kufuru ni lazima ihusiane na imani. Hakuna kufuru katika uchumi, siasa, n.k., bali kufuru imejikita katika imani au dini. Kwa ufupi ni kuwa KUFURU NI KUSEMA KINYUME NA MUNGU. Hii ni kulingana na muktadha wa Biblia. Ndo maana Nabii Danieli akiwa anaielezea Pembe Ndogo, alisema,
"Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu,.......; naye ataazimu kubadili majira na sheria...."- (Dan.7:25)

“Kwa kutumia mbinu hii ya kutafsiri unabii, kanisa la Roma lilionekana wazi kuhusika
na unabii huu wa pembe ndogo katika Daniel 7, na mnyama wa Ufunuo 13:1, mwanamke
wa Ufunuo 17, ikiwa ni pamoja na kichwa cha kanisa kuwakilisha Mtu wa Kuasi wa 2
Wathesalonike 2. Kadri mafundisho haya yalivyozidi, kanisa la Roma lililazimika
kujilinda dhidi ya kuongezeka kwa ushahidi wa unabii wa Biblia kulihusisha kanisa hilo.
Hivyo upapa ukaanza kuweka mipango ya kuwapinga waprotestant kwa kuanzisha
‘Jesuit society’ ili kisaidie kufundisha mafundisho ya kanisa na kuharibu mafundisho na
vitabu vyote vilivyokuwa kinyume na kanisa na kuanzisha “Holy Office of the
Inquisition” maalumu
Wa protestant ni zao la hao hao warumi......leta source ambazo hazihusishi kanisa la warumi maana uislam unaouongelea wewe ni matukio kabla ya 1054 halafu unaquote vitu vya baada ya 1054......kwa ufupi tu hata hio biblia kanisa la mwanzo haliamini biblia ambayo ilitafsiriwa na warumi ndo maana wa orthodox wamebaki na biblia ya asili katika lugha yake ya kiebrania na kigiriki tu kwa agano jipya.......kuanza kutafsiri tena kupitia kwa kanisa la roman katoliki ndo mwanzo pia wakuchanganya imani za watu na utawala wao
 
Huyo anamquote ni mmarekani ambaye naye pia ni zao la warumi
nime mquote nani, badala ujifunze neno la MUNGU mmekalia kulalamika , mnafundishwa na kumezeshwa mapokeo, na kuabudu sanamu

Marko 7:8-14Biblia Habari Njema (BHN)​

8. Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”
9. Yesu akaendelea kusema, “Nyinyi mnajua kuepa kwa ujanja sheria ya Mungu kwa ajili ya kufuata mapokeo yenu!
 
Wa protestant ni zao la hao hao warumi......leta source ambazo hazihusishi kanisa la warumi maana uislam unaouongelea wewe ni matukio kabla ya 1054 halafu unaquote vitu vya baada ya 1054......kwa ufupi tu hata hio biblia kanisa la mwanzo haliamini biblia ambayo ilitafsiriwa na warumi ndo maana wa orthodox wamebaki na biblia ya asili katika lugha yake ya kiebrania na kigiriki tu kwa agano jipya.......kuanza kutafsiri tena kupitia kwa kanisa la roman katoliki ndo mwanzo pia wakuchanganya imani za watu na utawala wao
roman empire ilipoanguka tu ,kilichoibuka ni roman catholic ,hii inathibitishwa hata na biblia

Nabii Danieli anaiona PEMBE NDOGO inazuka ghafla ambayo iko kwa namna hii,
"..... na tazama, katika pembe hiyo MLIKUWA NA MACHO KAMA MACHO YA MWANADAMU, na KINYWA KILICHOKUWA KIKINENA MANENO MAKUU"- (Dan.7:8)
 
Huyo anamquote ni mmarekani ambaye naye pia ni zao la warumi

Marko 7:8-14Biblia Habari Njema (BHN)​

8. Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”
9. Yesu akaendelea kusema, “Nyinyi mnajua kuepa kwa ujanja sheria ya Mungu kwa ajili ya kufuata mapokeo yenu!

1644409924877.png
 
Wasabato wanatumia calender ya freemason freemason (roman calenders) kwanin wasabato mnatumia kalender ya warumi na sio calenders ya kisabato
TUNGEKUA TUNATUMIA HIYO CALENDAR.,, SIKU KWETU INGEANZA SAA 6,. SABATO KWETU INGEKUW JUMAPILI

MAUSIA YA MUNGU, NA MAAGIZO YA MUNGU. ,WOKOVU VIPO KWA WAYAHUDI SIO WARUMI WAPAGANI

RUM 3​

1Basi Myahudi ana ziada gani? Na kutahiriwa kwafaa nini?

2Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.

3Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?

4Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo; kama ilivyoandikwa,
Ili ujulike kuwa una haki katika maneno yako,
Ukashinde uingiapo katika hukumu.
 
Wa protestant ni zao la hao hao warumi......leta source ambazo hazihusishi kanisa la warumi maana uislam unaouongelea wewe ni matukio kabla ya 1054 halafu unaquote vitu vya baada ya 1054......kwa ufupi tu hata hio biblia kanisa la mwanzo haliamini biblia ambayo ilitafsiriwa na warumi ndo maana wa orthodox wamebaki na biblia ya asili katika lugha yake ya kiebrania na kigiriki tu kwa agano jipya.......kuanza kutafsiri tena kupitia kwa kanisa la roman katoliki ndo mwanzo pia wakuchanganya imani za watu na utawala wao
Kasome tena vzr, utajua orthodox na roman catholic ni ndugu mmoja,
 
TUNGEKUA TUNATUMIA HIYO CALENDAR.,, SIKU KWETU INGEANZA SAA 6,. SABATO KWETU INGEKUW JUMAPILI

MAUSIA YA MUNGU, NA MAAGIZO YA MUNGU. ,WOKOVU VIPO KWA WAYAHUDI SIO WARUMI WAPAGANI

RUM 3​

1Basi Myahudi ana ziada gani? Na kutahiriwa kwafaa nini?

2Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.

3Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?

4Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo; kama ilivyoandikwa,
Ili ujulike kuwa una haki katika maneno yako,
Ukashinde uingiapo katika hukumu.
Kwa hiyo huu ni mwaka upi kwa kalender ya kisabato
 
Kasome tena vzr, utajua orthodox na roman catholic ni ndugu mmoja,
Ndugu mmoja ila orthodox walishajitenga na uongo wa ukatoliki.... na hawakubaliani na mafundisho yao.....muorthodox anaichukulia roman katoliki kama watu waongo, wanafiki na wenye tamaa za kidunia kuliko kusimamia imani halisi waliyoachiwa na mitume
Screenshot_20220209-141355_Samsung Internet.jpg
 
TUNAZUNGUMZIA KARAMA YA KUNENA KWA LUGHA, USIBADILI MADA JOMBA

HUKO KUNENA MNAKOFANYA LEO MMEKUTOA WAPI? MBON AHATUONI KWENYE MAANDIKO

AU NAPO HAPAWAHUSU .

Mbona unapanic mkuu. Nimekuuliza unasemea unenaji upi kwa Roho Mtakatifu, kwa makabila haya haya ya kwetu au kunena kwa namna gani.

Vilevile usigeuze maandiko hiyo sura haizungumzii karama hapo, wala haijaandikwa wakaekewa mikono ili wapate karama ya Roho Mtakatifu.
 
MBONA MADA IPO WAZI, JIBU MASWALI NILIYOKUULIZA ,MBONA UNAKIMBIA MASWALI

SASA KAMA HAYO MAKABILA WALIELEWA LUGHA ZAO , UNADHANI NI LUGHA GANI HIZO? NI HIZI SHIKAROBOBOSHIKASHIKKKK?


JIBU MASWALI

SASA HUKO KUNENA MNAKOFANYA LEO MMEKUTOA WAPI? MBON AHATUONI KWENYE MAANDIKO

AU NAPO HAPAWAHUSU .

Unaelewa nini maandiko yanapozungumzia
"Kila mmoja akanena kwa lugha mpya kwa kadri roho alivyomjalia kunena".

Unataka kusema Roho Mtakatifu akikujia unapaswa unene kichaga, au kimasai au kisukuma. Hebu taja lugha halisi ambayo ndo inafaa kunena kwa Roho Mtakatifu ambayo kwako unapendekeza ndo sahihi. Au wewe unanena kikabila gani? Na ulishawahi kutafsiriwa?
 
ulivyokuja mbio mbio kutetea huku kunena kwa lugha za mashetani kufanywko leo na walokole ka kina mwamposa , n.k nikaweka kambi , nikakupa maandiko ulipoona yanakubana umelala mbele , sasa hivi unataka kubadili mada yale maswali uyakimbie, maana huo utaratibu haujui umetoka wapi

Hoja yako hapa ni ipi? Mbona havina uhusiano na nilichokuuliza.
 
Mbona unapanic mkuu. Nimekuuliza unasemea unenaji upi kwa Roho Mtakatifu, kwa makabila haya haya ya kwetu au kunena kwa namna gani.

Vilevile usigeuze maandiko hiyo sura haizungumzii karama hapo, wala haijaandikwa wakaekewa mikono ili wapate karama ya Roho Mtakatifu.
HUWEZ KUNIHAMISHA MADA NILIJUA TU UTANASA

HUKO KUNENA MNAKOFANYA LEO MMEKUTOA WAPI? MBON AHATUONI KWENYE MAANDIKO

AU NAPO HAPAWAHUSU
 
MBONA MADA IPO WAZI, JIBU MASWALI NILIYOKUULIZA ,MBONA UNAKIMBIA MASWALI

SASA KAMA HAYO MAKABILA WALIELEWA LUGHA ZAO , UNADHANI NI LUGHA GANI HIZO? NI HIZI SHIKAROBOBOSHIKASHIKKKK?


JIBU MASWALI

SASA HUKO KUNENA MNAKOFANYA LEO MMEKUTOA WAPI? MBON AHATUONI KWENYE MAANDIKO

AU NAPO HAPAWAHUSU .

Ngoja nikurudishe kwenye lengo maana naona umeanza kupiga chenga. Maana mpaka sasa sijataja dhehebu langu wala hujui nanenaje kwa lugha, ila kwa kuwa unataka tuongelee jinsi ya kunena tumalizane kwanza na hili lengo lililonileta halafu tuanze kujadili namna ipi ya kunena nisahii.

Nikukumbushe lengo. Umekuja na andiko Paulo akiwaambia Wakorintho wakinena kwa lugha wanene watu watatu tu na pawepo na mtafsiri.

Mimi nikaja nikapinga nikakueleza kunena kwa lugha hakuna limitation ya idadi ya watu na nikaeleza historia kwanini Paulo aliamua kuwawekea wakorintho huo utaratibu. Ukasema wakorintho ni mataifa.

Nikaja na maandiko kutoka katika kitabu cha Matendo ya Mitume nikaonyesha jinsi wakina Petro walivyowawekea mikono watu wa Samaria na wote wakampokea Roho Mtakatifu na sio watatu kati yao. Nikakwambia wasamaria nao ni mataifa.

Baada ya wewe kuona nakubana kwa kuwa umeshaaminishwa Roho Mtakatifu anashukaga kwa watu watatu tu, ni kama mnafikiri Roho Mtakatifu atachanganyikiwa au Mungu atachanganyikiwa akisikiliza maombi zaidi ya watu watatu au unaona Roho Mtakatifu mwisho wake ni watu watatu tu unampa limitation. Ukaanza chenga sasa, et Oh huko kunena kwenu ni sahihi, mara unakwepa swali n.k n.k

Sasa sitaki unipige chenga turudi hapa kwanza mpaka kieleweke, kwanini unang'ang'ania watu watatu tu ndo wanene na kuwe na mtafsiri. Tupo hapa bado tetea hoja yako.

Na nikakueleza chimbuko la Roho Mtakatifu ni Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyemtambulisha atakuja baada yake na aliwaagiza wale wanafunzi, jumla walikuwa 120 akawaambia wasitoke Yerusalemu hata watakapompokea na maandiko yanasema wote wakajazwa Roho Mtakatifu wakaanza kunena kwa lugha mpya kadri Roho alivyowajalia kunena.

Tumalize hapo halafu tukishawekana sawa tutakuja kujadiliana jinsi ya kunena.


Wakati kabla hatujajadiliana jinsi ya kunena, hebu endelea kuyatafakari kwa kina haya maandiko hapa chini ninayokupa sasa hivi, tutayatumia tena huko mbeleni.

MATENDO 2

1 Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja.

2 Kukaja ghafula toka mbinguni uvumi kama uvumi wa upepo wa nguvu ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote waliyokuwa wameketi.

3 Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao.

4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.
 
Unaelewa nini maandiko yanapozungumzia
"Kila mmoja akanena kwa lugha mpya kwa kadri roho alivyomjalia kunena".

Unataka kusema Roho Mtakatifu akikujia unapaswa unene kichaga, au kimasai au kisukuma. Hebu taja lugha halisi ambayo ndo inafaa kunena kwa Roho Mtakatifu ambayo kwako unapendekeza ndo sahihi. Au wewe unanena kikabila gani? Na ulishawahi kutafsiriwa?
WEWE UNATAKA KUSEMA HIYO LUGHA NI HIZI MNAZOPAYUKA?
 
Nikaja na maandiko kutoka katika kitabu cha Matendo ya Mitume nikaonyesha jinsi wakina Petro walivyowawekea mikono watu wa Samaria na wote wakampokea Roho Mtakatifu na sio watatu kati yao. Nikakwambia wasamaria nao ni mataifa.

Baada ya wewe kuona nakubana kwa kuwa umeshaaminishwa Roho Mtakatifu anashukaga kwa watu watatu tu, ni kama mnafikiri Roho Mtakatifu atachanganyikiwa au Mungu atachanganyikiwa akisikiliza maombi zaidi ya watu watatu au unaona Roho Mtakatifu mwisho wake ni watu watatu tu unampa limitation. Ukaanza chenga sasa, et Oh huko kunena kwenu ni sahihi, mara unakwepa swali n.k n.k
ALIYEKWAMBIA UKISHUKIWA ROHO NDIO UNANENA KWA LUGHA NANI?


KWAHIYO WANAOSHUKIWA NA ROHO MTAKATIFU NDIO WANANENA KWA LUGHA?

MIMI NAZUNGUMZIA KUNENA KWA LUGHA , WEWE UNACHANGANYA MAFAILI ETI KUSHUKIWA ROHO, NI VITU VIWILI TOFAUTI
 
Back
Top Bottom