😀😀😀😀Ebu wekeni picha, kwasisi ambao hatupajui Daslam tuone...🙄
Ni Mradi wa Kikosi #34KJ hapo Lugalo ambao Unajumuiisha Askari wa Vyeo mbalimbali (japo wale Commissioned ndiyo wengi ) ambapo walitakiwa kuzijenga Wenyewe na wakishaanza Biashara hawatodaiwa Kodi kwa (ndani) ya miaka Miwili.Kuzipata hizo itakua ni issue, nadhani watakodisha hadi kwa watu binafsi ila kipaombele watapeana wao wenyewe kwanza
Hiyo kambi ni ya makazi ya askari, na hospitali ya jeshi, haina siri za kuficha kihiivyo.Niliposikia tu sababu ya kupelekea Ujenzi huo jinsi ilivyo ya Kipuuzi ( kutokana na Unyeti wa hiyo Kambi ) kwa Tanzania nzima ni kwamba nchi yetu sasa iko Uchi kabisa kwa Maadui na ipo Siku Tanzania itakuwa Mali ya Taifa lingine.
Kuna nyama fulani ipo kule sikumbuki vizuri ni kitimoto au mbuzi tabu ukilewa na ukaanza vurugu sijui inakuwaje itakuwa kama unampapasa simba jike wakati ananjaa kwa kumbembeleza atulie chakula kinakuja.Hiyo kambi ni ya makazi ya askari, na hospitali ya jeshi, haina siri za kuficha kihiivyo
Maana raia wanaruhusiwa hapo 24/7 kama wakazi wa katika nyumba za ndugu zao wanajeshi na pia kama wagonjwa hospitali, halafu kuna shule pia pale, kwahiyo sio sensitive kihivyo
Hauko 'Security Conscious' hivyo huna unachokijua na tafafhali acha Kunipotezea muda ila kuna Siku Tanzania ikivamiwa kirahisi na Watanzania kuwa Mali ya Nchi nyingine ndiyo mtatuelewa Wenye Akili Kubwa, Maono na Machale ya Kutukuka.Hiyo kambi ni ya makazi ya askari, na hospitali ya jeshi, haina siri za kuficha kihiivyo
Maana raia wanaruhusiwa hapo 24/7 kama wakazi wa katika nyumba za ndugu zao wanajeshi na pia kama wagonjwa hospitali, halafu kuna shule pia pale, kwahiyo sio sensitive kihivyo
Askari sio raia kwani?.Hizi fremu ni myingi sana kama ziko chini ya JW wamefanya la maana sana kuliko kulivyokuwa na pori linatufugia viumbe hatarishi nasitu isiyokuwa na faida.
Yaani ukifika usawa wa lugalo upande wa kushoto( kama unatoka mwenge kwenda tegeta mkono wa kulia) zimejengwa hadi kona ya kwenda kawe yaani ni nyingi sana!
Je, hizi zitapangishwa kwa familia za askari tu au hata mtu ambaye sio askari ataruhusiwa?
Kuna bar na bwalo la sherehe pia mule ndani raia wanajichanganya tuHiyo kambi ni ya makazi ya askari, na hospitali ya jeshi, haina siri za kuficha kihiivyo
Maana raia wanaruhusiwa hapo 24/7 kama wakazi wa katika nyumba za ndugu zao wanajeshi na pia kama wagonjwa hospitali, halafu kuna shule pia pale, kwahiyo sio sensitive kihivyo
NakaziaEbu wekeni picha, kwasisi ambao hatupajui Daslam tuone...🙄
Hiyo kambi ni ya makazi ya askari, na hospitali ya jeshi, haina siri za kuficha kihiivyo
Maana raia wanaruhusiwa hapo 24/7 kama wakazi wa katika nyumba za ndugu zao wanajeshi na pia kama wagonjwa hospitali, halafu kuna shule pia pale, kwahiyo sio sensitive kihivyo
Kagame gangHauko 'Security Conscious' hivyo huna unachokijua na tafafhali acha Kunipotezea muda ila kuna Siku Tanzania ikivamiwa kirahisi na Watanzania kuwa Mali ya Nchi nyingine ndiyo mtatuelewa Wenye Akili Kubwa, Maono na Machale ya Kutukuka.
Huyu jamaa nahisi simzalendo kabisa hivi atakambi zamalekani huagawanafuga mapoliNi Mradi wa Kikosi #34KJ hapo Lugalo ambao Unajumuiisha Askari wa Vyeo mbalimbali ( japo wale Commissioned ndiyo wengi ) ambapo walitakiwa Kuzijenga Wenyewe na wakishaanza Biashara hawatodaiwa Kodi kwa ( ndani ) ya miaka Miwili.
Hauko 'Security Conscious' hivyo huna unachokijua na tafafhali acha Kunipotezea muda ila kuna Siku Tanzania ikivamiwa kirahisi na Watanzania kuwa Mali ya Nchi nyingine ndiyo mtatuelewa Wenye Akili Kubwa, Maono na Machale ya Kutukuka.