mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mimi huwa nikipita njia panda ya bondeni halafu nikiliona benchi lao chuma waliloliweka halafu wameandika "USIKAE HAPA"
huwa nacheka sana
huwa nacheka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tafuta emuai umuulize hii inshu akikujibu uniite.......acha kutisha watu,nchi huru hii.
Mkuu tafuta emuai umuulize hii inshu akikujibu uniite.......
kuna Watu wanatembea navifaa vidogo vinavyotumika kuchukua taarifa maeneo nyeti hayo......
Watu wanaotumiwa kukusanya hizo taarifa n wanafunzi wa shule ya msingi na pisi kali......
Njoo upige picha eneo la jeshi.Ebu wekeni picha, kwasisi ambao hatupajui Daslam tuone...🙄
Hehehehe! Siku akifa jamaa hawakutambuiKuna mtu aliwahi ni introduce kwenye huo mchongo! Ilikuwa ni lazma utafte mwanajeshi mmoja uingie nae mkataba wa ujenzi ujenge fremu zako ila zinakuwa chini yake kimkataba kisha utafanyia biashara kibingwa. Nilichomoaga hio nikaona ufala
Mnaotaka picha subirini kesho mi ntakuwa pale.Ebu wekeni picha, kwasisi ambao hatupajui Daslam tuone...🙄
Wazihamishe kambi za mjini zote wapeleke nje ya mji wanatubania nafasi.Niliposikia tu sababu ya kupelekea Ujenzi huo jinsi ilivyo ya Kipuuzi ( kutokana na Unyeti wa hiyo Kambi ) kwa Tanzania nzima ni kwamba nchi yetu sasa iko Uchi kabisa kwa Maadui na ipo Siku Tanzania itakuwa Mali ya Taifa lingine.
Kuna nchi inaitwa Malekani kama ulivyoandika hapa Mkuu? Sisi wengi Wetu tunaijua ile iitwayo Marekani.Huyu jamaa nahisi simzalendo kabisa hivi atakambi zamalekani huagawanafuga mapoli
Time change, majeshi duniani ni ya kisasa mno, kujenga frem outskirts hakuna tabu yoyote alikradi tu ni akina nani watapangishwa (we have friendly army but dangerous to nation enemy)Niliposikia tu sababu ya kupelekea Ujenzi huo jinsi ilivyo ya Kipuuzi ( kutokana na Unyeti wa hiyo Kambi ) kwa Tanzania nzima ni kwamba nchi yetu sasa iko Uchi kabisa kwa Maadui na ipo Siku Tanzania itakuwa Mali ya Taifa lingine.
NIMEZIONA, ILA KWA MAWAZO YANGU WAMETUMIA VIBAYA ENEO HILI, WANGETAKIWA WAJENGE FREM ZA FLOOR MOJA MOJAHizi fremu ni myingi sana kama ziko chini ya JW wamefanya la maana sana kuliko kulivyokuwa na pori linatufugia viumbe hatarishi nasitu isiyokuwa na faida.
Yaani ukifika usawa wa lugalo upande wa kushoto( kama unatoka mwenge kwenda tegeta mkono wa kulia) zimejengwa hadi kona ya kwenda kawe yaani ni nyingi sana!
Je, hizi zitapangishwa kwa familia za askari tu au hata mtu ambaye sio askari ataruhusiwa?
Kama tu Akili za Kujenga vyema hizo Fremu ( mpaka zingine zimepinda, zingine fupi na zingine zimeshaweka Ufa ) wamekosa je, unadhani Akili za Kupambana na Majeshi HATARI na Mahiri kwa sasa Afrika Mashariki kama ya Rwanda na Uganda watakuwa nayo na wataweza?NIMEZIONA, ILA KWA MAWAZO YANGU WAMETUMIA VIBAYA ENEO HILI, WANGETAKIWA WAJENGE FREM ZA FLOOR MOJA MOJA
Uko sahihi kabisaHiyo kambi ni ya makazi ya askari, na hospitali ya jeshi, haina siri za kuficha kihiivyo
Maana raia wanaruhusiwa hapo 24/7 kama wakazi wa katika nyumba za ndugu zao wanajeshi na pia kama wagonjwa hospitali, halafu kuna shule pia pale, kwahiyo sio sensitive kihivyo