F35-Bomber
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 1,345
- 1,069
Akihamishwa inakuaje hapoNi Mradi wa Kikosi #34KJ hapo Lugalo ambao Unajumuiisha Askari wa Vyeo mbalimbali (japo wale Commissioned ndiyo wengi ) ambapo walitakiwa kuzijenga Wenyewe na wakishaanza Biashara hawatodaiwa Kodi kwa (ndani) ya miaka Miwili.