Friends karibuni sana kwa sherehe kesho!

Hahahaaa mbuzi kweli wewe
 
Kwan huyo alieleta uzi n dhumun lake hilo?
 
Umenena kweli kabisaaa, nia sio kungonoka hata kidogo...kuna watu humu tumekutana mara kadhaa tukapiga soga na kuagana kwa amani and we are friends mpaka leo!

Sometimes tunajiweka mbali na connection za maana kwa kuwaza ngono tu!
 
Undergraduate wengi wanawaza ngono tu, nakuja hapa kwa sababu ni jukwaa lenye watu wa aina zote, sisi hatuna habari na hizo mambo za ngono, hata huyu hapa chini alikuja na mawazo yake ya kingono ngono akaishia kuaibika tu...
View attachment 2247625
Sasa kulikua na haja gani kuweka hii picha?
 
Sasa wakiliwa mbususu si ni maamuzi yao wewe unateseka na nini?
 
Ule vya mwanaume alafu usiliwe...labda jamaa au domo zege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…