'Friends of Raila'...(F.O.R.A.) watangaza kuwa bosi wao ameshinda kura za jumla nchi nzima


mkuu zimetangazwa kura milioni 5.7 kati ya milioni 10 mbona bado sana!
 
Mpaka sasa 14:51 Kenyatta 2,590,393 (53.87%) wakati Odinga 2,001,651 ( 41.59%) ninachokiona hapa ni ODIGA kudondoka kifo cha mende. Jibabu Odinga hiloooooooooo waachie vijana kina Uhuru Kenyatta waendeshe nchi we kavua samaki
 
Aksante kwa ufafanuzi huo mkuu Tiba.
Ukiangalia kwa undani hakuna ubishi kwenye Total vote Kenyatta atashinda,shaka yangu ni kuweza kufikia kigezo cha pili cha kupata 24 county out of 47 kwani yeye anashinda sehemu yenye high registered voters kama Rift Valley na Central.
 
Mpaka sasa 14:51 Kenyatta 2,590,393 (53.87%) wakati Odinga 2,001,651 ( 41.59%) ninachokiona hapa ni ODIGA kudondoka kifo cha mende. Jibabu Odinga hiloooooooooo waachie vijana kina Uhuru Kenyatta waendeshe nchi we kavua samaki

For sure I hate this comment. Unaonekana hujakomaa hata kidogo. Je wewe ni mwimba taarabu? what are you doing here eh. Sio swala la uzee na ujana nya****mb***f
 

Ndugu yangu hicho bado ni kitendawili ambacho sijajua kama kitateguliwa kwa urahisi. Tusubiri tuone mambo yatakuwaje ingawaje kwa matokeo ya hivi karibuni, Raila ameanza kupanda wakati Uhuru anashuka. Kwa vyovyote vile itakavyokuwa, kupanda kwa Raila kunaweza tu kumzuia Uhuru asipite moja kwa moja kwenye round ya kwanza lakini hakutamzuia kuongoza uchaguzi huu (kwa maoni yangu).

Tiba
 

...Ni kupata 25% ya kura ambazo atazipata tu, hofu ni kigezo cha kupata 50% ya kura zote, kuna uwezekano pia wa kupata chini ya 50% na hivyo uchaguzi kurudiwa..
 

Hata kwa tathmini yangu naona Kenyatta ataongoza ila sikuwa na uhakika wa yeye kushinda round ya kwanza.Kitu cha ajabu sana ambacho hakikutarajiwa na wengi ni kuanguka kwa washindani wengine na kusabibisha uchaguzi kuonekana wa watu wawili.Nilitegemea hawa wengine watafanya vizuri Maeneo yao.Inashangaza mtu kama Keneth hajafikisha hata 30,000 ya kura!
 
friends of raila!sound kama friends of simba!!
 
Wamesema Raila ameshinda kwa kura mil 6.7 na uhuru kapata mil 5.2
 

Huyu Kenneth zaidi zaidi anachukua kura ambazo zingechukuliwa na Uhuru. All in all kama ningekuwa ni Mkenya, ningempigia sana debe huyu Bwana kwa sababu kubwa mbili;

1. Anaonekana ni mtu mwenye msimamo na anazungumza kwa kujiamini. Angepewa nafasi, angeweza kupambana na ufisadi kwa nguvu zake zote.

2. Ni mtu mgeni ambaye hajajihusisha sana na siasa za Kenya za wakati uliopita kwa hivyo yeye angekuwa neutral kwenye serikali yake. Lakini hawa wengine, yeyote atakayechukua nchi, lazima kulipiza visasi kutachukua nafasi yake.

Hao wengine kina Mudavadi ni dhahiri walijua kwamba nafasi yao ni ndogo lakini lazima wahakikishe wanaingia kwenye historia ya Kenya kwamba waliwahi kugombea urais.

Tiba
 
hii ndio mbaya sasa. friends kumtangaza mtu kama mshindi.
maaneke wafuasi woote wataamini kashinda.
tume ikija tangaza vinginevyo kasheshe inaanza!
 

Keneth hata akikosa wakati huu naamini atakuja tena kuwa Rais wa Kenya,ana maono anafaa kuwa Command in Chief.
 
Odinga anakula 'vumbi' tu tangu kura zimeanza hesabiwa..hakuna cha friends of Odinga wala friends of Raila!
 
hivi kenya wana mgambo?. nasikia harufu ya damu kenya. mia
 

Ngoma bado mbichi sana tu.
 

Redio kifua hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…