Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,511
jamani, Uhuru kenyatta ameshinda huu uchaguzi, kama odinga akileta za kuleta, kwakweli hatutamuelewa. mimi mwenyewe nilikuwa supporter wa odinga, lakini kutokana na kura zilivyotoka, asiyekubali kushindwa si mshindani. pamoja na yote, tuseme ule ukweli tu, Wakenya hawako fair sana, waache ukabila, wakikuyu waache ukabila, wametawala mno, wamekula mno hiyo nchi tangu babayake uhuru awe raisi, wamejilimbikizia sana mali ardhi n.k, ilikuwa fair kama wakiwaachia na wajaluo au watu wengine wawe maraisi wa hiyo nchi hapo ndo ukabila ungekuja kuisha, lakini kwa trend hii ya sasa, hakika ukabila kenya hautakuja kuisha kwasababu kama uhuru akishinda, chuki dhidi ya wakikuyu itakuwa juu kuliko ilivyokuwa mwaka 2007/2008. waache ukabila, wakikuyu acheni ukabila, muone aibu sasa wakati mwingine.
mkuu zimetangazwa kura milioni 5.7 kati ya milioni 10 mbona bado sana!