una utani na Hamada weweHIVI UNA UCHUNGU KAMA MIMI? Ukabila unaenda kuimaliza Kenya na hii itasababisha kuwepo Guerrilla wars kama ilivyokuwa Rwanda la sivyo Kenya itabakia nchi inayoongozwa katika misingi ya kikabila. Ni wazi kabisa watu wamepiga kuru kwa misingi ya ukabila licha ya kwamba Uhuru Kenyatta ni mtuhumiwa mkuu wa Mahakama ya the Hugue na mvuta bangi na mlevi bado wamempa nchi aongoze. Shame on them.
chezea kenya wewe..........kule ni mwendo wa unatoka kabilaHata kwa tathmini yangu naona Kenyatta ataongoza ila sikuwa na uhakika wa yeye kushinda round ya kwanza.Kitu cha ajabu sana ambacho hakikutarajiwa na wengi ni kuanguka kwa washindani wengine na kusabibisha uchaguzi kuonekana wa watu wawili.Nilitegemea hawa wengine watafanya vizuri Maeneo yao.Inashangaza mtu kama Keneth hajafikisha hata 30,000 ya kura!
Kwenye facebook na Radio za kenya friends of Raila Odinga wametangaza wazi kwamba bosi wao ameshinda nafasi ya Urais baada ya wao kujumlisha kura za nchi nzima za vituo vyote. Hii ndo habari mpya ya mchana huu. Hongera kwa Chadema waliomsapoti Odinga.
Raila is winning.
Mkuu wangu livefire mimi nilitaka Raila ashinde huu mtanange bahati mbaya tangu jana mpaka leo anatimuliwa vumbi mtindo mmoja kiasi kwamba sisi mashabiki wake huku Tz tumeshanyoosha mikono juu kuashiria tumeshindwa.Ghafla bin vuu wanatokea wachokonozi wanatupa moyo jembe letu Raila anaweza shinda !.
Nimeshakata tamaa nasubiri mechi ya Real na Manchester tumpige Jose ili tupunguze maumivu y kushindwa na wahalifu wa ICC.
Kwenye facebook na Radio za kenya friends of Raila Odinga wametangaza wazi kwamba bosi wao ameshinda nafasi ya Urais baada ya wao kujumlisha kura za nchi nzima za vituo vyote. Hii ndo habari mpya ya mchana huu. Hongera kwa Chadema waliomsapoti Odinga.
Mkuu wangu livefire mimi nilitaka Raila ashinde huu mtanange bahati mbaya tangu jana mpaka leo anatimuliwa vumbi mtindo mmoja kiasi kwamba sisi mashabiki wake huku Tz tumeshanyoosha mikono juu kuashiria tumeshindwa.Ghafla bin vuu wanatokea wachokonozi wanatupa moyo jembe letu Raila anaweza shinda !.
Nimeshakata tamaa nasubiri mechi ya Real na Manchester tumpige Jose ili tupunguze maumivu y kushindwa na wahalifu wa ICC.
pole sana aisee, loh!Mkuu wangu livefire mimi nilitaka Raila ashinde huu mtanange bahati mbaya tangu jana mpaka leo anatimuliwa vumbi mtindo mmoja kiasi kwamba sisi mashabiki wake huku Tz tumeshanyoosha mikono juu kuashiria tumeshindwa.Ghafla bin vuu wanatokea wachokonozi wanatupa moyo jembe letu Raila anaweza shinda !.
Nimeshakata tamaa nasubiri mechi ya Real na Manchester tumpige Jose ili tupunguze maumivu y kushindwa na wahalifu wa ICC.
Kwenye facebook na Radio za kenya friends of Raila Odinga wametangaza wazi kwamba bosi wao ameshinda nafasi ya Urais baada ya wao kujumlisha kura za nchi nzima za vituo vyote. Hii ndo habari mpya ya mchana huu. Hongera kwa Chadema waliomsapoti Odinga.
Kaka Ngongo, maumivu yakizidi usikate moyo; matokeo yaliyotumwa kutoka iebc ni asilimia 40 tu, kwa hizi, mahame ya Cord wametuma asilimia 35 tu. Mitambo ya iebc imefeli kabisa.....kura zinabebwa moja kwa moja hadi "tallying centers". Safaricom wametuangusha lakini usiwe na hofu, maagenti wamefanya kazi ya ziada...hakutakuwa na mihemko au ubadilishanaji wa takwimu za kura. Raila ameeanza kupaa sasa...45 asilimia kulingana na matokeo ya muda na uk asilimia 50.
Kwenye facebook na Radio za kenya friends of Raila Odinga wametangaza wazi kwamba bosi wao ameshinda nafasi ya Urais baada ya wao kujumlisha kura za nchi nzima za vituo vyote. Hii ndo habari mpya ya mchana huu. Hongera kwa Chadema waliomsapoti Odinga.
Wakuu nimekuwa nikifuatilia kwa makini matokeo ya uchaguzi wa Kenya nami ninakubaliana na hao friends of Raila kuwa ameshinda kwa sababu mbili kuu zifuatazo; Kwanza matokeo yaliyoanza kutolewa na kuonyesha Uhuru Kenyatta kuongoza kumbe yalikuwa ni yale ya kutoka katika ngome za kwao Rift Valley na mengi ya matokeo kutoka jimbo la Nyanza Kisumu ambako Raila ana wapenzi wengi wengi yalikuwa hayajaletwa kujumlishwa.Pili,meneo ya Pwani yamemchagua Raila kwa wingi wa kura.Ukiangalia matokeo yalivyo sasa hivi mchuano si wa mbali sana jambo linalonishawishi kuwa hizo kura za Kisumu karibu majimbo 7 yakijumlishwa pamoja na yale ya Mombasa hii inampa Raila ushindi mkuwa kabisa usiohitaji hata marudio ya uchaguzi.