Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
-
- #61
Exactly π― brother tunashindwa hadi na burundi wao juzi tu Elon musk kawafungia starlink satellite sisi gavoo inakataaHaya mambo ya gavoo tuyaache tu, furaha hii tuliyonayo hata kama ni ya kupima robo robo inatosha. Tuko na poor technology, poor infrastructure, inadequate innovations, unnecessary clout chasing stunts na madude kibao, ya mwisho kabisa sisi ni third world country, so we should expect nothing better.
Kumbe telegram inataka vpn!? leo naona inanigomea nadowload From na Tulsa King inasema to connectingπ€Inasikitisha sana kaka hadi Mimi napata speed ndogo sana na telegram nayo bila vpn hautoboi aisee
Ngoja tuoneππππMGM hawajaanza leo Tangu LOST wanavuta mpaka season six alafu mwisho mtaachwa bila majibu ,Bad Ending
From hii upuuzi.
Pole aisee ngoja nikupe link ambayo utatumia bila vpn upate from EP ya 5Kumbe telegram inataka vpn!? leo naona inanigomea nadowload From na Tulsa King inasema to connectingπ€
Wanasema wakikosa soko, baada ya reviews na viewership kupungua wanaachana na hizo series.MGM hawajaanza leo Tangu LOST wanavuta mpaka season six alafu mwisho mtaachwa bila majibu ,Bad Ending
From hii upuuzi.
π kam series ya Power, wanamrudisha Ghost kwa picha ya mtoto wake TariqKuna series ambayo ipo kwenye genre ya thriller na comedy inaitwa "Only Murders in the Building", humo yupo Selena Gomez na wazee wawili. Kuanza kwake kulikuwa simple sana, season 1 iliisha tukaenda Season 2, hatujakaa sawa hii hapa Season 3 na sasa kama utani tumeletewa Season 4.
Waandishi wakiona series au movie imependwa chapu wanapiga ma "plot twist" na surprises kibao mnajikuta-watazamaji mnaletewa miendelezo. Angalia Extraction jinsi walivyotubeba na kutusukumia kwenye muendelezo. Yale yale ya Fast Furious yanarudi huku.
Fox nawalaani sana Hawa jamaaWanasema wakikosa soko, baada ya reviews na viewership kupungua wanaachana na hizo series.
Unakuta wewe ndo kwanza mzuka umekupanda uanze kutazama series ukifika mahali unatafuta google unaambiwa production ya Series imefungwa kabisa.
BBC waliisimamisha Merlin, BBC hao hao waliachana na Atlantis hii hapo chini πView attachment 3131003
Fox nao baada ya kutupa burudani ya Prison Break walitukacha mazima
View attachment 3131005
Kabisa Mkuu ila nahisi yule mwanamke wa ajabu ndiye fatima
Nafikisha laana kwa bei nafuu sana, laana inasafirishwa hadi bara la Marekani Kaskazini. Kwa huduma hii bonyeza ** (kidding) πππ Walituacha mataaFox nawalaani sana Hawa jamaa
Ngoja tuone kipande kijacho itakuwaje aisee afu Kuna series inaitwa tea cup nayo Ina vaibu kama ya from itafuteniLeo kwenye ep5 limeulizwa swali la msingi na baba yake victor, "motel iko wapi" na kuna bango lake
Nina episode mbili za mwanzo, ila bado hazijakaa sawaNgoja tuone kipande kijacho itakuwaje aisee afu Kuna series inaitwa tea cup nayo Ina vaibu kama ya from itafuteni
Now zimefika 4 mkuu ni balaa sana aisee series za aina hii ni tamu sanaNina episode mbili za mwanzo, ila bado hazijakaa sawa
Boyd, kwangu mimi huyo ndiye main, na kinachotokea kwa sasa wale viumbe wanamkomoa tu, na ndio maana kuna muda yeye mwenyewe haelewiSeries ikiisha na kuacha maswali inakua yakipuuzi sana ,anaemjua Main character wa From mpka sasa atuambieπ π
Ni Boyd pale ππππSeries ikiisha na kuacha maswali inakua yakipuuzi sana ,anaemjua Main character wa From mpka sasa atuambieπ π
Dah jamaa wanatarget mauzo na sasaiv hawatoi complete season wanatoa ep kila weekπ πNgoja tuone kipande kijacho itakuwaje aisee afu Kuna series inaitwa tea cup nayo Ina vaibu kama ya from itafuteni
Na wanajua wakimgusa tu watakufa maana bado ana damu Yao na yeye ndiye muhuni wa kwanza kugundua talisman zile hiriziBoyd, kwangu mimi huyo ndiye main, na kinachotokea kwa sasa wale viumbe wanamkomoa tu, na ndio maana kuna muda yeye mwenyewe haelewi
Wanapiga sana pesa mkuu kwa Kila EP wanapata watazamaji wengi Sana mfano wa series iliokula pesa kwa Kila EP kwa sasa ni the penguin afu inafata fromDah jamaa wanatarget mauzo na sasaiv hawatoi complete season wanatoa ep kila weekπ π
Usipate jazba mapema, inawezekana Main Character ndo hayo Ma-ghost, mbeleni tutaanza kuwaonea huruma hao ma-ghost πππSeries ikiisha na kuacha maswali inakua yakipuuzi sana ,anaemjua Main character wa From mpka sasa atuambieπ π
Monsters hawana shida nae hata kidogo, wanataka tu kumtesa, na kuangalia shida nyingi amesolve yeye, sasa wanaona huyu mjinga tumvuruge kwanza akili na kumgombanisha na watu wakeNi Boyd pale ππππ