From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

Mliambiwa chato ilakuwa kama Gbadolite kijiji Cha Mobutu paka wakabisha haya Sasa!! Asante Mungu
Nimeenda Chato kabla na baada ya kifo cha JPM, the township is growing into a full fledged town, just like any urban Tznian town, achana na propaganda za jf. He laid the foundation the rest is history, kuna nightlife na vibe kama ya miji mingine midogo yenye hadhi ya wilaya na huwezi boreka,
 
Paka ameodoka mapanya wameanza kuja hata sebureni
 
Wapuuzi tu.kwa hiyo walitaka chato isijengwe?kama hawataki chato ijengwe wangeikataa ili iwe sehemu ya rwanda au burundi.yaani wanataka kuwabaguwa watz wa chato ili wasipate huduma za kijamii?Nani anunue hiyo takataka
 
Matendo na tabia ya mtu ndio utetezi tosha. Tujitahidi tuache mambo na matendo yetu mazuri ili ziwe stori nzuri kwa vizazi na vizazi. Mfano Nelson Mandela
 
Hata na Mimi ningeangalia kwetu tuacheni unafiki uchwara au vp wakuu?hahahaaaaa..... Nimewaza tu Kwa sauti sijasema.....
 
Pum..vu zenu ripoti ya Sasa ya CAG hamyaoni madudu? Kutwa kuanzisha news za kumponda JPM.
Mkome JPM atabaki Kuwa Rais bora Kuwahi tokea Tz.

Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
 
Walinyamaza kimya wakati mwenyewe yuko hai. Jasiri ni wale waliopaza sauti akawasikia akasirika sana halafu wakapaza tena na tena.Wengine walifungwa,waliumizwa wakapewa kesi feki,wengine walinyang'anywa leseni zao za kazi za uwakili,Wengine biashara zao ziliharibiwa,wengine walidhurumiwa kwa nguvu kwenye uchaguzi n.k.Hao ni wazalendo wenye misimamo thabiti.Huwa nawadharau sana wale wanaompigaga risasi "nyati aliyekwisha kufa"

wakati hayo yanafanyika hao Waandishi wa habari walinyamaza kimya kabisa,vyombo vya habari vilinyamaza kimya kabisa.Wapo wachache sana wanaohesabika nawakumbuka waliopiga kelele.
 
Walikuwa wapigana vita gani ili ndio tumjue mshindi na mshindwa? Kama walikuwa wanapigana vita ya kuuwana basi hapo kweli JPM kashindwa.
Vita dhidi ya udikteta, na kweli udikteta na ukabila na chuki za kisiasa na kutekana na ukanda umekwisha kabisa. Sasa kama hawajashinda niambie JPM kashinda nni?
 
Sisi Chadema tulishamalizana na JPM tokea siku aanze kuoza pale Mzena. Haya mengine yote ni kuwafumbua waTanzania Ili asije tokea kiongozi wa aina yake (Bashiru, Sabaya, Kabudi, Makonda) kupewa nchi na Wala sio kumchafua. Hata Mama Samia ameshakiri kuwa Never, Never, and Never again kumpa Urais mtu wa calibre ya JPM.
 
Kama anakubalika why alivuruga uchaguzi? Mfano kata nayoishi mbunge alipita bila kupingwa, diwani pia alipita bila kupingwa kiufupi watu hatukupiga kura sababu walipita bila kupingwa. Sasa ndio Nini hiko? Alafu lijitu linakomaa eti anakubalika, Sasa aliogopa Nini upinzani kuweka wagombea?
 
Swali ambalo kila siku najiuliza, hivi ingekuaje kama Mungu angemuacha yule bindamu kuwa hai mpka leo hi?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kama Mungu angemuacha mpaka leo ingekuwa kama ifuatavyo;
1. Hadi sasa tungeshuhudia kwa mara ya kwanza TZ treni za mijusi zikikatiza kwenye SGR dar- moro - dom.
2. Upigaji wa trilioni zaidi ya 30 tusingeusikia.
3. Maharage tungekuwa tunachemshia umeme maana Nyerere dam ingekuwa imeisha na umeme ungekuwa bwerere.
4. Tungeshuhudia miradi mikubwa mno Tanzania kuwahi kutokea africa mashariki na kati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…