roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,609
- 2,751
Mkapa was The President!! But Maguuuu Noon,noon,no,no,no no no no no no no noooooooo nonononooo to infinitMkapa na magufuri wote wamefariki....why magufuri always? Mwanadamu siku zote hukumbukwa kwa mabaya magufuri kuna sehemu aliwaumiza watanzania huo ndio ukweli.
Kazi kweli kweliHwajamkamia. It is the life he chose.
Magufuli mwenyewe kaamua kuingia kwenye maisha ya siasa, hajalazimishwa na mtu.
Ukishaamua kuwa mwanasiasa, kuongoza mamilioni ya watu, umeamua kuacha maisha ya privacy, umekubali watu wayachambue maisha yako vizazi na vizazi.
Angeamua kuwa private citizen kama mimi, kusingekuwa na mtu anayemuandika.
It's the price of admiralty.
Asante Mungu Kwa kutupa SSH kuwa Rais wetuNimeenda Chato kabla na baada ya kifo cha JPM, the township is growing into a full fledged town, just like any urban Tznian town, achana na propaganda za jf. He laid the foundation the rest is history, kuna nightlife na vibe kama ya miji mingine midogo yenye hadhi ya wilaya na huwezi boreka,
Hakika hakufa kuwa kiongoziPaka ameodoka mapanya wameanza kuja hata sebureni
Ukifanya mabaya hata ufe utasemwa tuuuMwacheni baba wa watu si alishakufa tayari why bother.
Sisi tumesha nunua hakika ni kitabu kizuri SanaWapuuzi tu.kwa hiyo walitaka chato isijengwe?kama hawataki chato ijengwe wangeikataa ili iwe sehemu ya rwanda au burundi.yaani wanataka kuwabaguwa watz wa chato ili wasipate huduma za kijamii?Nani anunue hiyo takataka
Ndo hivyo, kama hutaki kuandikwa, usiingie kwenye siasa.Kazi kweli kweli
KanunueSoft copy ya hicho kitabu tunaipataje?
Kamdanganye anaembato mazaakoKama Mungu angemuacha mpaka leo ingekuwa kama ifuatavyo;
1. Hadi sasa tungeshuhudia kwa mara ya kwanza TZ treni za mijusi zikikatiza kwenye SGR dar- moro - dom.
2. Upigaji wa trilioni zaidi ya 30 tusingeusikia.
3. Maharage tungekuwa tunachemshia umeme maana Nyerere dam ingekuwa imeisha na umeme ungekuwa bwerere.
4. Tungeshuhudia miradi mikubwa mno Tanzania kuwahi kutokea africa mashariki na kati.
Umekisoma na kukielewa kipande hiki?
"Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao."
Hiki kitabu hajaandikiwa Magufuli. Magufuli kashakufa.
Hiki kitabu wameandikiwa waliobaki. Wasiharibu kama alivyoharibu Magufuli. Wakiharibu watachafua legacies zao.
Ukiacha kutesa wapinzani wale mafisadi wali deserve kunyooshwa aisee
Kwenye logic hili kosa linaitwa "logical non sequitur".Magufuli kaharibu eh!!!
Hii nchi inapotea sababu wanafiki ni wengi.
Huyo bagonza haoni yanayoendelea kwa sasa??
Ila jiwe was too much tuliishi Kwa hofu sana plus wasiojulikana hata kupiga umbeya ikawa hofuUgumu unakuja hapo kwenye bolded. Ni ngumu sana kuignore, hasa kwa wale waliofikwa
Heri kuwapa watu uhuru watapike nyongo na stress zaoHawajamkamia, ni yeye ndio alichagua hii njia. Wakati yupo hai, aliwaziba midomo kwa nguvu, acha waongee sasa
Hakika Mungu Yu mwema Kwa kumleta Rais mpenda haki mama Samia,Mungu aliona taifa linaangamia kwa ushamba,ulimbukeni,majivuno,umungu mtu,mauaji,ukabila,ukanda,na ulimbukeni uliotukuka hakika Mungu wewe ni muweza!! Hukukose
Sio mawe Ni nzi wale wa chooniSiyo mizigo tu, ni mizigo ya mawe
Jamaa ameivuruga sana hii nchi. Hata siasa za chuki zilishamiri sana wakati wake, kuliko nyakati zingine zoteIla jiwe was too much tuliishi Kwa hofu sana plus wasiojulikana hata kupiga umbeya ikawa hofu
Yani anakuminya, alaf anakuzuia kuongea. Matokeo yake, hasira zinabaki ndani kwa ndani. Ndio maana wengi wanaongea now.Heri kuwapa watu uhuru watapike nyongo na stress zao
Haya maneno kamuambie anaekukaza makalio kenge wewe.Kamdanganye anaembato mazaako
Yani angekuwepo mpaka Leo angesabibisha hata vita vya ukabila na ubaguzi juuJamaa ameivuruga sana hii nchi. Hata siasa za chuki zilishamiri sana wakati wake, kuliko nyakati zingine zote