Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kitabu hewa
Hawa jamaa wameliwahi jopo la wasomi ambao wanafahamika nchini ambapo hivi karibuni watatoa kitabu cha maisha na utumishi wa JPM katika nchi ya mafisadi papa hapa Tanzania
Kunatarajiwa kuzinduliwa kitabu kinachoelezea uajabu wa serikali ya Tano chini ya nchi iliyokuwa ikiitwa nchi masikini kumbe ni janja za wapigaji na mafisadi ya ccm
Ndani yake ipo miradi yote iliyobuniwa na kuanzishwa na serikali yake
Ndani yake wapo mafisadi waliowahi kusoteshwa kwenye serikali yake
Wapo pia wapanga mipango wa kuidhofisha serikali yake
Wapo pia ambao walilikuwa wakipanga mipango ya hatari zaidi dhidi yak