Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshashinda ndio maana jamaa ametangulizwa kuzimu.Mnashindana ila hakika HAMTASHINDA.
Naunga mkono hoja, food for thoughtDah!..waandishi wengine wasiokuwa 'critics' kwa utawala ule nao waandike pia kitabu ili tuweze kubalance pande zote.
JokaKuu zitto junior Pascal Mayalla Kiranga Mag3
Hatutaki hagiography.Dah!..waandishi wengine wasiokuwa 'critics' kwa utawala ule nao waandike pia kitabu ili tuweze kubalance pande zote.
JokaKuu zitto junior Pascal Mayalla Kiranga Mag3
Hivi toka muanze kuanika huo uchafu bado hamjaumaliza au mnarudia yaleyale na mmefanikiwa kiasi gani kwenye lengo lenu hadi sasa au mapambano yanaendelea?Ww deal na ripoti ya CAG, wengine wanadeal kuanika uchafu wa dhalimu.
Wabongo na usomaji wa vitabu.View attachment 2587865
Waandishi nguli wa habari nchini Tanzania wamezindua kitabu 'I am the State' (Mimi ni Dola) chenye kuonyesha maendeleo ya miradi ya uwekezaji yaliyofanyika wilayani Chato mkoani Geita na ukiukwaji wa sheria uliofanyika ndani ya utawala wa hayati Rais Dk John Magufuli wakati wa utekelezaji wa miradi hiyo.
Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao.
Amesema kitabu cha I am the State kinaonyesha namna fedha za umma zilivyotumika nje ya bajeti ya bajeti ya serikali.
"Mambo yaliyotajwa katika kitabu hiki yalitendeka nchi ikiwa gizani na watu walinyamazishwa na haya yaliyoandikwa ni sehemu ndogo ya yaliyotendeka nchi ikiwa gizani"amesema.
Wamachinga, mama ntilie, bodaboda n.kNani atanunua hiyo takataka
Nani wameshinda wakina Mzee Makamba?(wazuri hawafi)Wameshashinda ndio maana jamaa ametangulizwa kuzimu.
Lakini Mwenyezi Mungu anabaki kuwa mshindi wetu milele yote, hilo hauwezi kupingana nalo kuwa tuliposhindwa sisi kama bina-Adam dhidi ya ufedhuli wa Goliath au niseme Firauni na wafuasi wake wa giza, Mola akawa mshindi asiyeshindanishwa na visanamu mtuMnashindana ila hakika HAMTASHINDA.
It seems wewe hukwenda shuleMnashindana ila hakika HAMTASHINDA.
Shetani ngoja liwekwe vitabuni, lisomwe milele. Inaelekea ulikuwa "shoga" wa Shetani Magufuli. huoni uchafu, ushetani, uuaji etc etc alioufanya Magufuli.Wapumbavu badala ya ku deal na wizi wa sasa wa CAG wako Bize na marehemu tu ,naona group la ngurumo na meena hapo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemtetea sana hata sisi tuliokuwa tumekwisha kubaliana nawe juu ya ubaya wake umetulazimisha tune kwamba wewe ulikuwa ukifurahia sana maovu aliyohusika nayo.Kiukweli nilitokea kumchukia sana hayati Magufuli hasa kwa mambo 'binafsi' hata kabla hajawa rais!
Ila pamoja na yote Magufuli alikua ana afadhali ukimlinganisha na Kikwete au Samia tuongee tu kwa kumtendea haki.
Ni nani hakupapendelea kwao nchi hii?
Nyerere na Mara? Nyerere na akina Butiku?
Mwinyi na Zanzibar/Mkuranga?
Mkapa na kusini?
JK?
Pili kuna haja gani ya kutumia rasilimali kubwa hivyo kuchapisha kitabu chenye maudhui yasiyo na msaada? Lengo ni kujifunza? Kama ni kujifunza si tunayo historia ya Gbadolite huko Zaire sasa DRC? Nani ana fadhili hayo na kwa maslahi gani?
Magufuli ni lost case kwa sasa haya hayatusaidii.
Mwisho tuwe makini sana na waandishi uchwara maana huu ni ulaji unatafutwa kwa mtu na ni njia ya kututoa kwenye reli.
Liko motoni sasa hiviShetani ngoja liwekwe vitabuni, lisomwe milele. Inaelekea ulikuwa "shoga" wa Shetani Magufuli. Juoni uchafu, ushetani, uuaji etc etc alioufanya Magufuli.
Kipindi cha mzee tulifundishwa kuwa makini na matumizi ya pesa, maana ukichezea pesa leo huna uhakika kama kesho utaipata 😂😂Kiukweli nilitokea kumchukia sana hayati Magufuli hasa kwa mambo 'binafsi' hata kabla hajawa rais!
Ila pamoja na yote Magufuli alikua ana afadhali ukimlinganisha na Kikwete au Samia tuongee tu kwa kumtendea haki.
Ni nani hakupapendelea kwao nchi hii?
Nyerere na Mara? Nyerere na akina Butiku?
Mwinyi na Zanzibar/Mkuranga?
Mkapa na kusini?
JK?
Pili kuna haja gani ya kutumia rasilimali kubwa hivyo kuchapisha kitabu chenye maudhui yasiyo na msaada? Lengo ni kujifunza? Kama ni kujifunza si tunayo historia ya Gbadolite huko Zaire sasa DRC? Nani ana fadhili hayo na kwa maslahi gani?
Magufuli ni lost case kwa sasa haya hayatusaidii.
Mwisho tuwe makini sana na waandishi uchwara maana huu ni ulaji unatafutwa kwa mtu na ni njia ya kututoa kwenye reli.
Shigongo anaandikaga hivyo harafu vinakuwa vya kiswahili.View attachment 2588121
mwananchi.co.tz
https://www.mwananchi.co.tz › yal...
Yaliyojificha uwekezaji wa Hayati Dk Magufuli Chato yawekwa vitabuni
AnaGa Anaandika9 hours ago —aanAbsalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu ndio waandishi walioandika kitabu hicho chenye jina 'I am the State' ikiwa na ...
Huyo mwenye miwani ni nani? Kwa nini anavaa miwani? Alianza kuvaa miwani lini na kwa nini?Nafurahi walivyo tokea wa kuandika negative za Magufuli.
Ningeshangaa sana kama kusingekuwa na negative zake katika maandiko kama hayo.
Kwa maana tokea ulimwengu ulivyo anza na mwanadamu kiwa ndani yake hakujawahi kutokea mwanadamu asie na mapungufu katika kila akifanyacho.
Mapungufu ya mwanadamu yapo kiasili , ili kumpa mwanadamu nafasi ya kujifunza tena kutokana na makosa yake.
Makosa yapo ili yawe darasa , yoyote asie jifunza kutokana na makosa hajawa mkamilifu bado.
Sisi wengine tuna endelea kuishi na kuthamini na kuenzi na kuwaelezea watoto wetu kwamba aliwahi kuwapo rais Magufuli hapa Tanzania, mazuri yake aliofanya na ib ni haya na yale.