From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

Yaliyojificha uwekezaji wa Hayati Dk Magufuli Chato yawekwa vitabuni​

Ijumaa, Aprili 14, 2023
magufuli-pic.jpg


Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka miwili tangu aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli kupoteza maisha Machi 17, 2021 akiwa madarakani, waandishi wakongwe wanne wamezindua kitabu kinachoonyesha sura ya kiongozi huyo na uwekezaji mkubwa alioupeleka wilayani Chato.

Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu ndio waandishi walioandika kitabu hicho chenye jina 'I am the State' ikiwa na maana Mimi ndio Dola.

Kitabu hicho linaonyesha hali ilivyo sasa wilayani Chato alipozaliwa kiongozi huyo mkuu wa nchi baada ya miradi mikubwa ya maendeleo
Miongoni mwa mambo yaliyoangaziwa katika kitabu hicho ni wanyama waliopelekwa Chato enzi ya utawala wa Rais Dk Magufuli, ujenzi wa kiwanja cha ndege, uboreshaji mkubwa wa miundombinu, wananchi kukimbilia kununua viwanja, ujenzi wa masoko na miradi mingineyo.

Pia kitabu hicho kimeangazia fedha zilizopelekwa wilayani huko zitarejeshwaje, mpango wa wilaya hiyo kuandaliwa kuwa mkoa uko uliishia wapi.

Kabla ya uzinduzi wa kitabu hicho Ansbert Ngurumo amesema jina la kitabu limetokana na hofu iliyoshuhudiwa baada ya utawala wa hayati Dk Magufuli tangu mwaka 2015-2021 kuelekeza miradi mingi eneo alikozaliwa bila kuwepo mtu aliyehoji.

Amesema kilichofanyika ndani ya utawala wa Dk Magufuli ilikuwa ni historia ya kipekee kwani awamu zote za viongozi waliopita hapa nchini hakukuwa na kiongozi aliyefanya uwekezaji mkubwa eneo alilotoka.

Mbali na uwekezaji walioutaja kuwa na dalili zote za ubinafsi alioufanya kiongozi huyo, amesema upo ukandamizaji mkubwa alioufanya kwenye jamii na kutoa kauli zenye vitisho kuonyesha hakuna aliye juu yake.

"Kama mnafikiri mpo huru kiasi hicho watch it,"Kauli hayati Dk Magufuli enzi ya uhai wake ambaye imeleta tafsiri kwenye kitabu hicho namna ambavyo uongozi wake haukutetereshwa na kitu chochote.

Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao.

Amesema kitabu cha I am the State kinaonyesha namna fedha za umma zilivyotumika nje ya bajeti ya bajeti ya serikali.

"Mambo yaliyotajwa katika kitabu hiki yalitendeka nchi ikiwa gizani na watu walinyamazishwa na haya yaliyoandikwa ni sehemu ndogo ya yaliyotendeka nchi ikiwa gizani"amesema.
Sichangii chochote



Katika_Historia%3A%0APamoja_na_kwamba_ALIZIMIA_baada_ya_kuuona_mwili_wa_mpendwa_wetu_MFUKO_hak...jpg
 
Non sense!
Kosa la JPM ni kuwekeza nchini kwake? Kwahiyo na yeye angeenda kujenga makasri huko ulaya?

Na kwa ujinga wa watanzania watazidi kumchukia ilihali wapo waliowekeza nje. Ni vile tubwao hatuwezi kuwa na ushahidi wa wazi kama ilivyo kwa hayati.


Kwa mfano mwizi anayeiba anajenga shule, anasaidia jamii hawzi kuwa sawa na mwizi anayeend akuhonga bar. ( Imenikumba korean movie-iljimae)😀👍
Your ID is anonymous but i think i Know you
I really do.
 
Nimefurahi sana kusikia kitabu kimeandikwa kuhusu mtu mwovu Magufuri.

Nafikiri kama vita vya wenyewe Kwa wenyewe vitatokea basi kaburi lake tutaenda kulilipua kama kulipiza kisasi kwa watu walioonewa kipindi chake.

Alikuwa mwovu fedhuri sana

Aendelee kuungua motoni na aongezewe moto.

Mungu tutaendelea kukushukuru kwa tendo kuu la kumuua huyo mwovu. Leo nchi yetu ingekuwa na wakimbizi kibao.
Amen
 
Umepaniki? Ina maana hujui kuwa binadamu hujifunza kutokana na makosa? Lazima vizazi vyetu vijifunze kutokana na makosa tuliyofanya kama taifa Ili huko mbeleni yasijirudie
Na ndio pale ulipo ukinzani wa maono hayo Juu. Hayati naye alitaka tuepuke na makosa waliyofanya wengine na kutuachia Wazungu watugalagase na kutukanyaga kanyaga. Alitaka vizazi vinvyokuja kujali mustakabali mzima wa Mwafrika na fikra zake na Rasilimali zake. Tumejifunza au niseme nimejifunza kuwa Inawezekana kabisa kuondokana na fikra potofu kuwa sisi waafrika ni masikini na kuweza kufanya maamuzi magumu kwa mustakabali wa Nchi dhidi ya mabeberu.
 

Yaliyojificha uwekezaji wa Hayati Dk Magufuli Chato yawekwa vitabuni​

Ijumaa, Aprili 14, 2023
magufuli-pic.jpg


Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka miwili tangu aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli kupoteza maisha Machi 17, 2021 akiwa madarakani, waandishi wakongwe wanne wamezindua kitabu kinachoonyesha sura ya kiongozi huyo na uwekezaji mkubwa alioupeleka wilayani Chato.

Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu ndio waandishi walioandika kitabu hicho chenye jina 'I am the State' ikiwa na maana Mimi ndio Dola.

Kitabu hicho linaonyesha hali ilivyo sasa wilayani Chato alipozaliwa kiongozi huyo mkuu wa nchi baada ya miradi mikubwa ya maendeleo
Miongoni mwa mambo yaliyoangaziwa katika kitabu hicho ni wanyama waliopelekwa Chato enzi ya utawala wa Rais Dk Magufuli, ujenzi wa kiwanja cha ndege, uboreshaji mkubwa wa miundombinu, wananchi kukimbilia kununua viwanja, ujenzi wa masoko na miradi mingineyo.

Pia kitabu hicho kimeangazia fedha zilizopelekwa wilayani huko zitarejeshwaje, mpango wa wilaya hiyo kuandaliwa kuwa mkoa uko uliishia wapi.

Kabla ya uzinduzi wa kitabu hicho Ansbert Ngurumo amesema jina la kitabu limetokana na hofu iliyoshuhudiwa baada ya utawala wa hayati Dk Magufuli tangu mwaka 2015-2021 kuelekeza miradi mingi eneo alikozaliwa bila kuwepo mtu aliyehoji.

Amesema kilichofanyika ndani ya utawala wa Dk Magufuli ilikuwa ni historia ya kipekee kwani awamu zote za viongozi waliopita hapa nchini hakukuwa na kiongozi aliyefanya uwekezaji mkubwa eneo alilotoka.

Mbali na uwekezaji walioutaja kuwa na dalili zote za ubinafsi alioufanya kiongozi huyo, amesema upo ukandamizaji mkubwa alioufanya kwenye jamii na kutoa kauli zenye vitisho kuonyesha hakuna aliye juu yake.

"Kama mnafikiri mpo huru kiasi hicho watch it,"Kauli hayati Dk Magufuli enzi ya uhai wake ambaye imeleta tafsiri kwenye kitabu hicho namna ambavyo uongozi wake haukutetereshwa na kitu chochote.

Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao.

Amesema kitabu cha I am the State kinaonyesha namna fedha za umma zilivyotumika nje ya bajeti ya bajeti ya serikali.

"Mambo yaliyotajwa katika kitabu hiki yalitendeka nchi ikiwa gizani na watu walinyamazishwa na haya yaliyoandikwa ni sehemu ndogo ya yaliyotendeka nchi ikiwa gizani"amesema.
Title ya kitabu ni nzuri sana, ila ingalinoga zaidi kama ingalisomeka kama

"I am the State - Watch It"
 
Nani aliwaambia Watz wanahitaji au wanapenda kusoma vitabu,,, wanaume wazima wanashindana na Marehemu Mwanaume mwenzao,,,ubaya Au Uzuri wa Hayati Magufuli hachafuki kirahisi rahisi,,,Ana miaka miwili amepumzika zake lakini watu wanaweweseka vibaya mnoo,,,Wangefanya yao tuu waachane na Chifu kwa kuwa hata wafanye nini haibadilishi kitu jamaa alijua namna ya kuishi mioyoni mwa watz waliowengi licha ya mapungufu yake lakini ana Mema yake na mazuri yake Mengi mnoo!!!
 
Bora magufuli kuliko Samia na kikwete waliitapanya na wanaitapanya nchi kuliko ,hao wanaoandika hayo machapisho ya kuponda magufuli ni agents of blackmailed colonialists wanaitapanya nchi kikweli kweli kwanini Leo na isiwe mwaka jana acheni unafiki makuadi wa mkoloni mweusi anayetapanya Mali za umma
 
Nani aliwaambia Watz wanahitaji au wanapenda kusoma vitabu,,, wanaume wazima wanashindana na Marehemu Mwanaume mwenzao,,,ubaya Au Uzuri wa Hayati Magufuli hachafuki kirahisi rahisi,,,Ana miaka miwili amepumzika zake lakini watu wanaweweseka vibaya mnoo,,,Wangefanya yao tuu waachane na Chifu kwa kuwa hata wafanye nini haibadilishi kitu jamaa alijua namna ya kuishi mioyoni mwa watz waliowengi licha ya mapungufu yake lakini ana Mema yake na mazuri yake Mengi mnoo!!!
Umempikia mumeo karimati leo?
 
Hayatengeneze kwaninkaja kuishi milele hps duniani wapuuzi kma magu ndio walijua wataishi milele wakaona watuibie
Statement za kuchoka na kuwa hopeless.Kuna watu takataka Kama Bagonza na wenzake wapumbavu ,wasio na uwezo wowote wa kusaidia nchi,kaz kutengeneza issue za kijinga .Magufuli atabaki the best president.Mtu mwenye akili nyingi.Sio wajinga na wapumbavu Kama Bagonza.Mavi kunuka.
 
Hivi toka muanze kuanika huo uchafu bado hamjaumaliza au mnarudia yaleyale na mmefanikiwa kiasi gani kwenye lengo lenu hadi sasa au mapambano yanaendelea?
Kufanikiwa kupi tena wakati keshaoza. Hivi hata asipochafuka ana impact Gani yaani upinzani au CCM ya Samia Wana hasara Gani?

2025 ni Lissu vs Samia ambao wote ni anti JPM so no matter achafuke or abaki msafi Hana impact.
 
Ule uchafu haishi maana sio wa kutunga. Tumefanikiwa kuweka rekodi sawa kuwa Magu hakuwa kiongozi, bali shetani kwenye sura ya binadamu.
Umeweka rekodi sawa wapi sasa mkuu maana hadi sasa huko mtaani bado watu wanamshabikia Magufuli sasa ingekuwa mmeweka rekodi sawa si tungeona athari zake. Labda uniambia bado mnapambana kuweka hiyo rekodi ila bado hamjafanikiwa.
 
Back
Top Bottom