From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

Watakinunua bavicha
 
Hakuna maendeleo yoyote kwa wakazi wa Chato, ndio tunaweza kusema maisha kwasasa yamekuwa magumu zaidi.
 
Ila wamemkamia mtu ambaye harudi Tena badala wa focus na future na mambo ya muhimu wao mara chato mara magufuli inachosha
 
Ila wamemkamia mtu ambaye harudi Tena badala wa focus na future na mambo ya muhimu wao mara chato mara magufuli inachosha

Hawajamkamia. It is the life he chose.

Magufuli mwenyewe kaamua kuingia kwenye maisha ya siasa, hajalazimishwa na mtu.

Ukishaamua kuwa mwanasiasa, kuongoza mamilioni ya watu, umeamua kuacha maisha ya privacy, umekubali watu wayachambue maisha yako vizazi na vizazi.

Angeamua kuwa private citizen kama mimi, kusingekuwa na mtu anayemuandika.

It's the price of admiralty.
 
Nitakinunua nione mtazamo wa walamba asali kwa Mzalendo wa kweli, Hayati John Magufuli.
Hakika Mungu Yu mwema Kwa kumleta Rais mpenda haki mama Samia,Mungu aliona taifa linaangamia kwa ushamba,ulimbukeni,majivuno,umungu mtu,mauaji,ukabila,ukanda,na ulimbukeni uliotukuka hakika Mungu wewe ni muweza!! Hukukose
 
Kwahiyo Nyerere alikuwa mzembe!?qmmmco
 
Ila mambo yanatofautiana, watu wachache kupiga zaidi ya 30T kila mwaka peke yako na kujenga miradi mikubwa inayotumiwa na watanzania wote kipi bora?
 
Kwa wazoefu wanajua kabisa nn kinaachwa kwenye makaratasi kwa vizazi vijavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…