Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Niambie bei gani ninunue hiyo soft copy.Kanunue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niambie bei gani ninunue hiyo soft copy.Kanunue
Tupe asilimia za miradi yake alivyoanza Hadi siku alipokufa ili tufananishe na ulichokisemaKama Mungu angemuacha mpaka leo ingekuwa kama ifuatavyo;
1. Hadi sasa tungeshuhudia kwa mara ya kwanza TZ treni za mijusi zikikatiza kwenye SGR dar- moro - dom.
2. Upigaji wa trilioni zaidi ya 30 tusingeusikia.
3. Maharage tungekuwa tunachemshia umeme maana Nyerere dam ingekuwa imeisha na umeme ungekuwa bwerere.
4. Tungeshuhudia miradi mikubwa mno Tanzania kuwahi kutokea africa mashariki na kati.
Mwandishi wa habari Jesse Kwayu ni chawa wa Mama na ametumwa kuchafua jina la JPM.![]()
Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka miwili tangu aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli kupoteza maisha Machi 17, 2021 akiwa madarakani, waandishi wakongwe wanne wamezindua kitabu kinachoonyesha sura ya kiongozi huyo na uwekezaji mkubwa alioupeleka wilayani Chato.
Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu ndio waandishi walioandika kitabu hicho chenye jina 'I am the State' ikiwa na maana Mimi ndio Dola.
Kitabu hicho linaonyesha hali ilivyo sasa wilayani Chato alipozaliwa kiongozi huyo mkuu wa nchi baada ya miradi mikubwa ya maendeleo kuelekezwa huko kwa matakwa yake.
Miongoni mwa mambo yaliyoangaziwa katika kitabu hicho ni wanyama waliopelekwa Chato enzi ya utawala wa Rais Dk Magufuli, ujenzi wa kiwanja cha ndege, uboreshaji mkubwa wa miundombinu, wananchi kukimbilia kununua viwanja, ujenzi wa masoko na miradi mingineyo.
Pia kitabu hicho kimeangazia fedha zilizopelekwa wilayani huko zitarejeshwaje, mpango wa wilaya hiyo kuandaliwa kuwa mkoa uko uliishia wapi.
Kabla ya uzinduzi wa kitabu hicho Ansbert Ngurumo amesema jina la kitabu limetokana na hofu iliyoshuhudiwa baada ya utawala wa hayati Dk Magufuli tangu mwaka 2015-2021 kuelekeza miradi mingi eneo alikozaliwa bila kuwepo mtu aliyehoji.
Amesema kilichofanyika ndani ya utawala wa Dk Magufuli ilikuwa ni historia ya kipekee kwani awamu zote za viongozi waliopita hapa nchini hakukuwa na kiongozi aliyefanya uwekezaji mkubwa eneo alilotoka.
Mbali na uwekezaji walioutaja kuwa na dalili zote za ubinafsi alioufanya kiongozi huyo, amesema upo ukandamizaji mkubwa alioufanya kwenye jamii na kutoa kauli zenye vitisho kuonyesha hakuna aliye juu yake.
"Kama mnafikiri mpo huru kiasi hicho watch it,"Kauli hayati Dk Magufuli enzi ya uhai wake ambaye imeleta tafsiri kwenye kitabu hicho namna ambavyo uongozi wake haukutetereshwa na kitu chochote.
Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao.
Amesema kitabu cha I am the State kinaonyesha namna fedha za umma zilivyotumika nje ya bajeti ya bajeti ya serikali.
"Mambo yaliyotajwa katika kitabu hiki yalitendeka nchi ikiwa gizani na watu walinyamazishwa na haya yaliyoandikwa ni sehemu ndogo ya yaliyotendeka nchi ikiwa gizani"amesema.
Wapuuzi hao achana nao. Wanajitoa akili wakati ukweli wanaujua. Kwani mtu kujenga anapotokea kavunja katiba au sheria gani?Magufuli kaharibu eh!!!
Hii nchi inapotea sababu wanafiki ni wengi.
Huyo bagonza haoni yanayoendelea kwa sasa??
Tanzania nzima ingeunganishwa kwa reli ya umeme na barabara za Rami Hadi kuinganisha Kila Kijiji na gharama za kuinganisha umeme ingekuwa ni 27000TshSwali ambalo kila siku najiuliza, hivi ingekuaje kama Mungu angemuacha yule bindamu kuwa hai mpka leo hi?
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Asante mungu kwa kukupa mme?Hata wakati wa jiwe Hali ilikuwa ngumu alishindwa kuajiri Kwa miaka mitano ilikuwa aibu Sana Asante Mungu
Kimeandikwa na puppets pungaz hao waliokuwa "wateswi" wa JPM, wale waandishi waliokuwa wakilipwa kuandika mabaya tu ya utawala wake.Umekisoma na kukielewa kipande hiki?
"Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao."
Hiki kitabu hajaandikiwa Magufuli. Magufuli kashakufa.
Hiki kitabu wameandikiwa waliobaki. Wasiharibu kama alivyoharibu Magufuli. Wakiharibu watachafua legacies zao.
Wapinzani walijitesa wenyewe tu wale wachumia tumboUkiacha kutesa wapinzani wale mafisadi wali deserve kunyooshwa aisee
Na JK?Kwahiyo Nyerere alikuwa mzembe!?qmmmco
Unakijua au unakisikia kijiji kile?Mliambiwa chato ilakuwa kama Gbadolite kijiji Cha Mobutu paka wakabisha haya Sasa!! Asante Mungu
Tukianza na SGR mpaka January 2021 mradi ulikamilika kwa 91% kutoka dar -moro na 60% kutoka moro - dom.Tupe asilimia za miradi yake alivyoanza Hadi siku alipokufa ili tufananishe na ulichokisema
Hao Wanakagera wawili na askofu wao wangeandika tu kitabu cha kujikwamua na umaskini wa mkoa wao kingeuza sana kwa sababu na wilaya zake ziko bottom kwa umaskini![]()
Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka miwili tangu aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli kupoteza maisha Machi 17, 2021 akiwa madarakani, waandishi wakongwe wanne wamezindua kitabu kinachoonyesha sura ya kiongozi huyo na uwekezaji mkubwa alioupeleka wilayani Chato.
Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu ndio waandishi walioandika kitabu hicho chenye jina 'I am the State' ikiwa na maana Mimi ndio Dola.
Kitabu hicho linaonyesha hali ilivyo sasa wilayani Chato alipozaliwa kiongozi huyo mkuu wa nchi baada ya miradi mikubwa ya maendeleo kuelekezwa huko kwa matakwa yake.
Miongoni mwa mambo yaliyoangaziwa katika kitabu hicho ni wanyama waliopelekwa Chato enzi ya utawala wa Rais Dk Magufuli, ujenzi wa kiwanja cha ndege, uboreshaji mkubwa wa miundombinu, wananchi kukimbilia kununua viwanja, ujenzi wa masoko na miradi mingineyo.
Pia kitabu hicho kimeangazia fedha zilizopelekwa wilayani huko zitarejeshwaje, mpango wa wilaya hiyo kuandaliwa kuwa mkoa uko uliishia wapi.
Kabla ya uzinduzi wa kitabu hicho Ansbert Ngurumo amesema jina la kitabu limetokana na hofu iliyoshuhudiwa baada ya utawala wa hayati Dk Magufuli tangu mwaka 2015-2021 kuelekeza miradi mingi eneo alikozaliwa bila kuwepo mtu aliyehoji.
Amesema kilichofanyika ndani ya utawala wa Dk Magufuli ilikuwa ni historia ya kipekee kwani awamu zote za viongozi waliopita hapa nchini hakukuwa na kiongozi aliyefanya uwekezaji mkubwa eneo alilotoka.
Mbali na uwekezaji walioutaja kuwa na dalili zote za ubinafsi alioufanya kiongozi huyo, amesema upo ukandamizaji mkubwa alioufanya kwenye jamii na kutoa kauli zenye vitisho kuonyesha hakuna aliye juu yake.
"Kama mnafikiri mpo huru kiasi hicho watch it,"Kauli hayati Dk Magufuli enzi ya uhai wake ambaye imeleta tafsiri kwenye kitabu hicho namna ambavyo uongozi wake haukutetereshwa na kitu chochote.
Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao.
Amesema kitabu cha I am the State kinaonyesha namna fedha za umma zilivyotumika nje ya bajeti ya bajeti ya serikali.
"Mambo yaliyotajwa katika kitabu hiki yalitendeka nchi ikiwa gizani na watu walinyamazishwa na haya yaliyoandikwa ni sehemu ndogo ya yaliyotendeka nchi ikiwa gizani"amesema.
Waandishi wa hichi kitabu kama mmo humu nasema hivi mnaabahati hii nchi sio kama sudani au South Afrca yaani nyie mlitakiwa pamoja na familia zenu kupigwa tu Risasi za kutosha mana hakuna faida ya nyie kuwepo.![]()
Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka miwili tangu aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli kupoteza maisha Machi 17, 2021 akiwa madarakani, waandishi wakongwe wanne wamezindua kitabu kinachoonyesha sura ya kiongozi huyo na uwekezaji mkubwa alioupeleka wilayani Chato.
Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu ndio waandishi walioandika kitabu hicho chenye jina 'I am the State' ikiwa na maana Mimi ndio Dola.
Kitabu hicho linaonyesha hali ilivyo sasa wilayani Chato alipozaliwa kiongozi huyo mkuu wa nchi baada ya miradi mikubwa ya maendeleo kuelekezwa huko kwa matakwa yake.
Miongoni mwa mambo yaliyoangaziwa katika kitabu hicho ni wanyama waliopelekwa Chato enzi ya utawala wa Rais Dk Magufuli, ujenzi wa kiwanja cha ndege, uboreshaji mkubwa wa miundombinu, wananchi kukimbilia kununua viwanja, ujenzi wa masoko na miradi mingineyo.
Pia kitabu hicho kimeangazia fedha zilizopelekwa wilayani huko zitarejeshwaje, mpango wa wilaya hiyo kuandaliwa kuwa mkoa uko uliishia wapi.
Kabla ya uzinduzi wa kitabu hicho Ansbert Ngurumo amesema jina la kitabu limetokana na hofu iliyoshuhudiwa baada ya utawala wa hayati Dk Magufuli tangu mwaka 2015-2021 kuelekeza miradi mingi eneo alikozaliwa bila kuwepo mtu aliyehoji.
Amesema kilichofanyika ndani ya utawala wa Dk Magufuli ilikuwa ni historia ya kipekee kwani awamu zote za viongozi waliopita hapa nchini hakukuwa na kiongozi aliyefanya uwekezaji mkubwa eneo alilotoka.
Mbali na uwekezaji walioutaja kuwa na dalili zote za ubinafsi alioufanya kiongozi huyo, amesema upo ukandamizaji mkubwa alioufanya kwenye jamii na kutoa kauli zenye vitisho kuonyesha hakuna aliye juu yake.
"Kama mnafikiri mpo huru kiasi hicho watch it,"Kauli hayati Dk Magufuli enzi ya uhai wake ambaye imeleta tafsiri kwenye kitabu hicho namna ambavyo uongozi wake haukutetereshwa na kitu chochote.
Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao.
Amesema kitabu cha I am the State kinaonyesha namna fedha za umma zilivyotumika nje ya bajeti ya bajeti ya serikali.
"Mambo yaliyotajwa katika kitabu hiki yalitendeka nchi ikiwa gizani na watu walinyamazishwa na haya yaliyoandikwa ni sehemu ndogo ya yaliyotendeka nchi ikiwa gizani"amesema.
Mungu ni Mkubwa Siku zoteYani angekuwepo mpaka Leo angesabibisha hata vita vya ukabila na ubaguzi juu
Mwacheni baba wa watu si alishakufa tayari why bother.
Nineona kuna sehemu umeandika kustaafu?,kustaafu hakuwa mpango wa magufuli ndio ingekuwa imetoka hiyo kile kiti kingekuwa chake daimaMagufuli angekuwa mzembe sana kama angefanya maendeleo kwengine kisha angeacha kwao. Yaani siku angestaafu angerudi kwao angestahili kupigwa mawe.
Lakini asingefanya ingembidi mwisho wa siku na yeye amlilie rais apeleke barabara, hospital, maji, shule na umeme. Vinginevyo ingebidi aikimbie chato kama Mkapa alivyoikimbia Masasi, Nyerere alivyoikwepa Butiama na kuishi msasani, Mwinyi alivyoikwepa mkuranga na kuishia mikocheni na Kikwete anavyoikwepa Msoga na kuishi dar au USA ili kuinjoy huduma za kijamii na maisha bora.
Kuhusu kauli ya watch out ni onyo ambalo Magu alilitoa kwa walioonekana kutaka kutishia amani. Kumbe kwao neno lile ilikuwa onyo tosha la kuiacha nchi itawalike na maendeleo yafanyike. Safi sana.
Lakini nawashauri pia waandishi watembee mikoa mingine waangalie Magu alifanya nini. Wasiishie Chato. Tena wangeanzia tu dar hususani maeneo ya Tandale, buza, manzese, temeke, mbagala, buguruni.
Magufuli angekuwa mzembe sana kama angefanya maendeleo kwengine kisha angeacha kwao. Yaani siku angestaafu angerudi kwao angestahili kupigwa mawe.
Lakini asingefanya ingembidi mwisho wa siku na yeye amlilie rais apeleke barabara, hospital, maji, shule na umeme. Vinginevyo ingebidi aikimbie chato kama Mkapa alivyoikimbia Masasi, Nyerere alivyoikwepa Butiama na kuishi msasani, Mwinyi alivyoikwepa mkuranga na kuishia mikocheni na Kikwete anavyoikwepa Msoga na kuishi dar au USA ili kuinjoy huduma za kijamii na maisha bora.
Kuhusu kauli ya watch out ni onyo ambalo Magu alilitoa kwa walioonekana kutaka kutishia amani. Kumbe kwao neno lile ilikuwa onyo tosha la kuiacha nchi itawalike na maendeleo yafanyike. Safi sana.
Lakini nawashauri pia waandishi watembee mikoa mingine waangalie Magu alifanya nini. Wasiishie Chato. Tena wangeanzia tu dar hususani maeneo ya Tandale, buza, manzese, temeke, mbagala, buguruni.