From the legends to the youngs. Hizi ndio kanuni za mahusiano

From the legends to the youngs. Hizi ndio kanuni za mahusiano

system hacker

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2022
Posts
426
Reaction score
709
Huu ushauri wa ma legends kwenda kwa madogo kwenye game ya mapenzi na wanawake.

Legend yeyote anaruhusiwa kutoa ushauri kwa hawa madogo wanauouana na kufa kila day sababu ya mapenzi.

We legends we admit. Mapenzi yanauma sio siri. But legends have solutions for every thing. Uzoefu ni mwalimu bora.

Fuatilia hapa ushauri wa ma legends kwenye suala zima la mapenzi na wanawake ili kuokoa that young generation na kifo cha mapenzi

Jiweke kwenye nafasi ya mzazi wa mtoto wa kiume ama wa kike anayepoteza maisha kwa sababu ya mapenzi. Uliwekeza kwa mtoto wako aje kufa kifo cha kishujaa ama cha kimapenzi?

Hizi ni siri ambazo kwa miaka ya hivi karibuni Dunia inajitahidi sana kuzificha watoto wa kiume. Ma legends tunaziweka hadharani. Mwenye kusikia na asikie.

Kabla hujafanya maamuzi yeyote yahusuyo mapenzi njoo pitia huu ushauri wa ma legends. Km kuna sehemu unatanzika kwenye mahusiano njoo pitia huu ushauri wa ma legends. Utakusave sana.

Exceptional: Wanawake wazee ni ma legends yaani ni wanaume wenzetu. Hii mada ni kwa ma chicks sio kwa wanawake wazee
 
1. Usimpende mwanamke. Narudia tena usimpende mwanamke. Mtumie mwanamke sio kumpenda.

Ukimpenda mwanamke atakuona dhaifu. Ukimpenda zaidi atakuona dhaifu zaidi. Lkn wanawake wanapenda kupendwa tena sana ili wajione superior na si vinginevyo.

Jifunzeni kwa playboys ama wahuni. Hawana shobo na wanawake lkn wanawake wanahangaika nao. Eleweni

Tunaposema usimpende ma legends hatumaanishi umchukie, bali use the women yaani kile ni chombo kwa ajili ya matumizi yako ya hapa na pale.

Elewa sio chombo chako mwenyewe. Usijipe kazi ya kummiliki mwanamke awe wako. Huyo ni wanaume wote.

Km huelewi utakuja kufa ndo utaelewa.
 
Aise mapemzi yanauma sio siri yaani yule mwanamke jamani alitesa moyo wangu "mwanaume huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni" hayo maneno sitayasahau maishani.
Haya maneno wanaambiwa wanaume malaini malaini. Wale wasiojielewa halafu wanakasirika.

Kama huna mbele kwa nini asikuchane? Sasa ukichanwa huna mbele na kweli hauna shida ipo wapi. Acheni ulaini ulaini watoto wa kiume nyie
 
1. Usimpende mwanamke. Narudia tena usimpende mwanamke. Mtumie mwanamke sio kumpenda.

Tunaposema usimpende ma legends hatumaanishi umchukie, bali use the women yaani kile ni chombo kwa ajili ya matumizi yako ya hapa na pale.

Elewa sio chombo chako mwenyewe. Usijipe kazi ya kummiliki mwanamke awe wako. Huyo ni wanaume wote.

Km huelewi utakuja kufa ndo utaelewa.
Hili ndio fundisho kuu kwa mwanaume yoyote yule
 
2. Wanawake huwaangusha wanaume. Yes it is true. Wamewaangusha wafalme tangu enzi na enzi.

Shetani akitaka kumuangusha mwanamme mwenye nguvu anampelekea mwanamke. Shetani km shetani hawezi kumuangusha mwanamme bali humuangusha kwa kumtumia mwanamke.

Sasa imagine mwanamme unakomaa kumiliki bomu litakalokuja kukumaliza.

Jiangalie we fala wa kiume
 
Usiguse simu ya mwanamke.
Gusa simu. Gusa kila kitu cha mwanamke. Lkn kuwa tayari kwa lolote. Maana sio chombo chako pekee bali cha yeyote rijali

Mwanamke ni utukufu wa mwanamme. Kamwe usimpe mwanamke utukufu mbele yako. Huko ni kukufuru.
 
4. Usihangaike kumridhisha mwanamke. Hangaika kuridhisha jamii yako sio mwanamke.

Mwanamke haridhiki na hatosheki. Hata hajui kitu gani anakitaka umpe.

Mwanamke ni mtoto mdogo. Hajui kitu gani kinamfaa na kitu gani hakimfai
 
Wasichukulie suala la mapenzi in a serious way. Wayachukulie tu kama GAME ambayo mwenye nguvu pekee ( kwenye nguvu apa ndipo kuna siri nyingi sana ) ndie mwenye uwezo wa kuingia kushindana lakini mwisho wa siku asisahau anapopata mpenzi asijisahau sana huyo sio wa kwake ni muda wake tu umefika na utaisha ata fuata mwingine kumiliki jimbo.
 
Haya maneno wanaambiwa wanaume malaini malaini. Wale wasiojielewa halafu wanakasirika.

Kama huna mbele kwa nini asikuchane? Sasa ukichanwa huna mbele na kweli hauna shida ipo wapi. Acheni ulaini ulaini watoto wa kiume nyie
Wewe mwenyewe umepigwa matukio na wanawake huu uzi ni sehemu tu ya kutafuta relief. Nyuma ya keyboard unalia mpaka kamasi.
 
Aise mapemzi yanauma sio siri yaani yule mwanamke jamani alitesa moyo wangu "mwanaume huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni" hayo maneno sitayasahau maishani.
TRA need to reconsider its tax base and check the possibility of tapping in the untapped sex economy, a multi-billion virgin sector!

I mean, they should come up with the Incum Tax!
 
5. Mvutie mwanamke sio kumpenda. Achana na mambo ya kusema napenda. Mwanamke ndio akupende na awe na wivu mkubwa na wewe.

Mwanamke ndo apambane asikupoteze sio ww upambane usimpoteze. Siku ukiona ww ndo unapambana usimpoteze fahamu umeshapoteza ufalme wako tayari na upo kwenye mikono salama ya shetani. Umeanguka tayari.

Mwanamme ana options mwanamke hana
 
Wasichukulie suala la mapenzi in a serious way. Wayachukulie tu kama GAME ambayo mwenye nguvu pekee ( kwenye nguvu apa ndipo kuna siri nyingi sana ) ndie mwenye uwezo wa kuingia kushindana lakini mwisho wa siku asisahau anapopata mpenzi asijisahau sana huyo sio wa kwake ni muda wake tu umefika na utaisha ata fuata mwingine kumiliki jimbo.

From the legend
 
Back
Top Bottom