Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Hahaha, sasa mtu anakuambia huna mbele wa nyuma, lazima na yeye ajibiwe kihuniKumbe na wewe una kauhuni flani🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, sasa mtu anakuambia huna mbele wa nyuma, lazima na yeye ajibiwe kihuniKumbe na wewe una kauhuni flani🤣🤣🤣🤣
DuuKuna mwamba kasema usichukue mwanamke akiyekuzidi shida.
Utakuwa na uwezo wakujibu kihuni kama una hela bwana...sie wengine uanaume wetu upo kwenye hela bila hela nawa mdogo kama piritonHahaha, sasa mtu anakuambia huna mbele wa nyuma, lazima na yeye ajibiwe kihuni
Mwanaume lazima ujiamini hata kama huna mpunga.Utakuwa na uwezo wakujibu kihuni kama una hela bwana...sie wengine uanaume wetu upo kwenye hela bila hela nawa mdogo kama piriton
And should be in both sides. Sio upande mmoja unalemewa.Love=trust +caring.
Mie nijijulia weakness yangu. Bila hela najua swezi pata mbususu basi. Kama wapo wanaopaga mbususu bila hela well done to themMwanaume lazima ujiamini hata kama huna mpunga.
Mtoa mada kaongea ukwell, sio ujinga..Nimefanya uchunguzi binafsi, na nimesoma vitabu vingi vya kimahusiano vilivyoandikwa na waandishi kama Esther villar, rollo tomasi, etc nimegundua kiasilia & in general terms wanawake hamna uwezo wa kutupenda wanaume, kama sisi wanaume tunavowapenda wanawake, in general terms upendo wa kweli wa mwanamke upo kwa mtoto wake wa kumzaa, ndio maana biblia imempa mwanaume jukumu la kupenda na mwanamke kapewa jukumu la kuheshimu mumeweAcha ujinga
Sioni legend hapa. Naona mwanaume aliyeumizwa na mapenzi. Anayejaribu kujifariji na vimisemo ambavyo havifanyi kazi. You should be solving your serious money problems.Kazi yako ni kujamba kunya kula kukojoa kujipambana kufagia uwanja kuosha vyombo kufua nguo na kuto.mbwa nothing else....legends we are talking kitulize hicho kitu ama kipelekwe kwa mhusika. Utafutaji ni majukumu yetu ya asili
I love you mrembo wangu.
Huo ndio ukweli. Ata kwenye ndoa mke akishazaa tuu ujue imekula kwako hana time na wewe. Ni yeyey na mtoto basi.Mtoa mada kaongea ukwell, sio ujinga..Nimefanya uchunguzi binafsi, na nimesoma vitabu vingi vya kimahusiano vilivyoandikwa na waandishi kama Esther villar, rollo tomasi, etc nimegundua kiasilia & in general terms wanawake hamna uwezo wa kutupenda wanaume, kama sisi wanaume tunavowapenda wanawake, in general terms upendo wa kweli wa mwanamke upo kwa mtoto wake wa kumzaa, ndio maana biblia imempa mwanaume jukumu la kupenda na mwanamke kapewa jukumu la kuheshimu mumewe
Mtoa mada katuasa wanaume tusipende wanawake coz wadada wa siku hizi ukiwapenda serious kuna uwezekano mkubwa lazima kitu kizito utosini kikuhusu Depal