Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hiyo ndio maana ya Lejendi sababu anauzoefu wa kutosha kwa sababu kashapitia hayo maswaibu ya kutoshaWewe mwenyewe umepigwa matukio na wanawake huu uzi ni sehemu tu ya kutafuta relief. Nyuma ya keyboard unalia mpaka kamasi.
Wewe basi unanunua. Mimi siuzi papuchi kwa mpenzi wangu aiseeMie nijijulia weakness yangu. Bila hela najua swezi pata mbususu basi. Kama wapo wanaopaga mbususu bila hela well done to them
Sioni legend hapa. Naona mwanaume aliyeumizwa na mapenzi. Anayejaribu kujifariji na vimisemo ambavyo havifanyi kazi. You should be solving your serious money problems.
Wanaume maskini ndio wanaonaga kuna wanawake wadangaji. Sasa ungana na mtoa mada mtafute hela.Ehee mtoa mada akisha-solve serious money problems zake ashakuwa tajiri kinachofuatia ni nini, kama nakuona ewe mdada mdangaji pro max mwenye tabia ya kuumiza wanaume bila sababu Hannah
Huyu amepitia na bado anapitia. Ukisoma maandishi yake utaelewa bado anapitia.Sasa hiyo ndio maana ya Lejendi sababu anauzoefu wa kutosha kwa sababu kashapitia hayo maswaibu ya kutosha
Nyie ndio pretenders....hamnaga papuchi ya bure kabisaa. Muachage uwongoWewe basi unanunua. Mimi siuzi papuchi kwa mpenzi wangu aisee
From the legendNi bora kuwa single kuliko kumiliki mwanamke mmoja, mwanamke mmoja atasababisha kuharakisha kifo chako.
From the legendMtoa mada kaongea ukwell, sio ujinga..Nimefanya uchunguzi binafsi, na nimesoma vitabu vingi vya kimahusiano vilivyoandikwa na waandishi kama Esther villar, rollo tomasi, etc nimegundua kiasilia & in general terms wanawake hamna uwezo wa kutupenda wanaume, kama sisi wanaume tunavowapenda wanawake, in general terms upendo wa kweli wa mwanamke upo kwa mtoto wake wa kumzaa, ndio maana biblia imempa mwanaume jukumu la kupenda na mwanamke kapewa jukumu la kuheshimu mumewe
Mtoa mada katuasa wanaume tusipende wanawake coz wadada wa siku hizi ukiwapenda serious kuna uwezekano mkubwa lazima kitu kizito utosini kikuhusu Depal
From the legendDon't negotiate with terrorists
Kuwa na Mwanamke mmoja kwa maana mke, ni udhaifu mkubwa sana kwa sisi Wanaume.Ni bora kuwa single kuliko kumiliki mwanamke mmoja, mwanamke mmoja atasababisha kuharakisha kifo chako.
From the legendMwanamke anapewa
i)Third part insurance
Ukimpa
ii) Comprehensive insurance
Umekalia land mine narudia utakuwa Umekalia bomu la ardhini
From the legendKuwa na Mwanamke mmoja kwa maana mke, ni udhaifu mkubwa sana kwa sisi Wanaume.
Pretender loh. Sasa nipewe hela na nina zangu za kunitosha. Mtu wangu niko naye sio kwa sababu ananipa hela. Tuko kupeana raha na kusaidiana kwa shida na raha.Nyie ndio pretenders....hamnaga papuchi ya bure kabisaa. Muachage uwongo