From the legends to the youngs. Hizi ndio kanuni za mahusiano

From the legends to the youngs. Hizi ndio kanuni za mahusiano

Huu ushauri wa ma legends kwenda kwa madogo kwenye game ya mapenzi na wanawake.

Legend yeyote anaruhusiwa kutoa ushauri kwa hawa madogo wanauouana na kufa kila day sababu ya mapenzi.

We legends we admit. Mapenzi yanauma sio siri. But legends have solutions for every thing. Uzoefu ni mwalimu bora.

Fuatilia hapa ushauri wa ma legends kwenye suala zima la mapenzi na wanawake ili kuokoa that young generation na kifo cha mapenzi

Exceptional: Wanawake wazee ni ma legends yaani ni wanaume wenzetu. Hii mada ni kwa ma chicks sio kwa wanawake wazee
Ukipata nafas akakuvulia kyup tu hakikisja unapiga mashine kisawa sawa.. na hakikisha hata mara 1 moja unafumua marinda.. hvyo hata akikupiga tukio unakua huumii kihivyo
 
Daaah, uzi wako kama nauelewa kwa madini unayotoa mkuu, pongezi kwako
 
TRA need to reconsider its tax base and check the possibility of tapping in the untapped sex economy, a multi-billion virgin sector!

I mean, they should come up with the Incum Tax!
Hapana. Haya ni mawazo ya wanaume wanaoumizwa na wanawake.

Ma legends tunasisitiza wanawake waachwe jinsi walivyo. They are our playing toys.

Ikiwezekana huduma zote za ki serikali wapate bure. Hatutaki wanawake wetu wawe hustlers.

Wanatakiwa kula kupendeza kulala na kujamba kukojoa na kunya basi. Hizi ndio responsibilities pekee za mwanamke
 
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake sio wanaume.

Wanaume msihangaike kuwalinda wanawake dhidi ya wanaume wengine. Adui wa mwanamke sio mwanamme mwenzako bali ni mwanamke mwenzake
 
Usijaribu kuwa na mwanamke mmoja hata Dunia iseme vipi.

Kuwa na wanawake tofauti tofauti vile utakavyo na ujuavyo wewe itakufaa.

Hakuna popote paliposemwa uwe na mwanamke mmoja. Huu ni uoga wa wanawake dhidi ya wanawake wenzao.
 
Usiharibu familia yako kwa sababu ya ku base upande wa mwanamke.

Always kuwa upande wanaume wengi wanapenda kuwa yaani upande wa kifamilia.

Angalia matumizi yako vizuri kwa wanawake. Dont let your family suffer your relatives suffer sababu ya mwanamke.
 
Wanawake hushawishiwa. Km ww ulimshawishi pia kuwa tayari kuwa anaweza kushawishiwa na mwanamme mwingine any time. Ikitokea hv usipanic. Check kwenye list yako weka mambo sawa usipoteze focus
 
Dunia haina nishani kwa wanaume waliochakata sana mbususu. Dunia haina nishani kwa wanaume waliowaridhisha sana wanawake mapenzini. Dunia haina nishani za kipuuzi hivyo.

Hivyo, kamwe usipambane kumridhisha mwanamke mapenzini utakufa mapema sana halafu wale wabaya wako wanaendelea kuchakata wife wako kiroho safi ww upo mavumbini.

So, kuwa mbinafsi kwa kadri uwezavyo. Dont kill yourself na mambo ya vumbi la kongo kisa nyuchi za wanawake
 
Brand yourself. Always make yourself big. Make yourself potential kwa marafiki ndugu na jamaa zako. Usiwe useless kwenye jamii.

Usiwe mnyonge. Kuwa useful. Fight for glory. Lakini usisahau kuwa humble maana mwisho wako ni kifo and its there waiting for you, and the funny thing is kila siku unazidi kuisogelea so be calm and humble

Na wanawake watakuona macho 3 must have
 
Tumia huu muda kutafuta hela. Mapenzi yatakuua.
Kazi yako ni kujamba kunya kula kukojoa kujipambana kufagia uwanja kuosha vyombo kufua nguo na kuto.mbwa nothing else....legends we are talking kitulize hicho kitu ama kipelekwe kwa mhusika. Utafutaji ni majukumu yetu ya asili

I love you mrembo wangu.
 
Put a man before a woman. Always.

Don't favour a woman ukamuacha mwanamme. Mwanamme hatakusaidia be guaranteed. Lkn ni utukufu kum favour a man.

Mwanamme ni Dunia. Always give him a favour before a woman.

But remember wanawake ni watoto wadogo mbele ya wanaume. So be careful in treating that little baby
 
Aise mapemzi yanauma sio siri yaani yule mwanamke jamani alitesa moyo wangu "mwanaume huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni" hayo maneno sitayasahau maishani.
Hahahah yeye ana mbele na nyumz?
 
Back
Top Bottom