Huu ushauri wa ma legends kwenda kwa madogo kwenye game ya mapenzi na wanawake.
Legend yeyote anaruhusiwa kutoa ushauri kwa hawa madogo wanauouana na kufa kila day sababu ya mapenzi.
We legends we admit. Mapenzi yanauma sio siri. But legends have solutions for every thing. Uzoefu ni mwalimu bora.
Fuatilia hapa ushauri wa ma legends kwenye suala zima la mapenzi na wanawake ili kuokoa that young generation na kifo cha mapenzi
Exceptional: Wanawake wazee ni ma legends yaani ni wanaume wenzetu. Hii mada ni kwa ma chicks sio kwa wanawake wazee
Vijana wa sasa wanatakiwa kujua haya.
1. utamu wa mwanamke uko kitandani tu nyingine huwa ni mchanganyiko.
2. Kama mwanaume hakikisha jambo la kwanza ni kumridhisha mkeo kitandani.
3. Wanawake huwa wanaishi katika ulimwengu wa matumaini jitahidi kila siku awe na matumaini makubwa na wewe na kila unalomweleza akuelewe.
4. Akili za wanawake zinafanana hata awe amesoma vipi au ni hajasoma kiasi gani watu hawa hutofautiani taaluma tu ila siyo akili za maisha za kawaida.
5. Wanawake huwa hawaamini ukweli kwahiyo jitahidi kumwambia ukweli uliochanganywa na uongo ukiwa mkweli sana kwa mwanamke unajitafutia matatizo.
6. Jitahidi kumpa fantasy moments walau once a day.
7. Siku moja moja usiache kumpiga walau Kofi hasa akiwa mpya kwako ili kuestablish authority.
8. Majina Sweet, Honey, yatumike kwenye special occasions tu siyo kila siku.
9. Usionyeshe kama unapenda sana kama mjinga.
10. Jitahidi kuwa na hela za kuhudumia kwa mahitaji japo siku moja moja jifanye hauna hela asote kidogo ujue loyalty yake.
Mwisho kabisa usiwe na mwanamke mmoja ila ufanye kwa heshima usiwe kama lijinga jinga kila siku kufumaniwa kama jogoo.
Just mtazamo wangu tu.