FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024

FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024

Kama taifa tunasafari kubwa sana ya kisoka Kwa kweli hii mifumo ya kuokota wachezaji mitaani afu wanakua tegemezi Kwa taifa itatuchukua mda mrefu sana kupiga atua kubwa kisoka
Umeongea kwa machungu sana.
Ihefu ikicheza ni habari kubwa kuliko Taifa Stars, timu zimekuwa za siasa, bora tubaki na hizi za mikoani tu.
 
Mpaka hapaa Mzizee Hana hatia,Fei hamna kitu.kibabage Badoo,Barua at least.
 
Timu ilishakuwa ya kimataifa kwa kuwa na wazungu pori watatu( wa bongo wa mchongo) unawaacha unachukua Hawa makolo na utopolo, unawaacha wakongwe akina sammata na mqenzake?
 
Timu ilishakuwa ya kimataifa kwa kuwa na wazungu pori watatu( wa bongo wa mchongo) unawaacha unachukua Hawa makolo na utopolo, unawaacha wakongwe akina sammata na mqenzake?
 
Timu ilishakuwa ya kimataifa kwa kuwa na wazungu pori watatu( wa bongo wa mchongo) unawaacha unachukua Hawa makolo na utopolo, unawaacha wakongwe akina sammata na mqenzake?
 
Timu ilishakuwa ya kimataifa kwa kuwa na wazungu pori watatu( wa bongo wa mchongo) unawaacha unachukua Hawa makolo na utopolo, unawaacha wakongwe akina sammata na mqenzake?
 
Timu ilishakuwa ya kimataifa kwa kuwa na wazungu pori watatu( wa bongo wa mchongo) unawaacha unachukua Hawa makolo na utopolo, unawaacha wakongwe akina sammata na mqenzake?
 
Yaani kama SIMBA Ina ndoto za kumtegemew BALUA basi yangu MACHO..
 
Back
Top Bottom