Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Africa sio soka karibu Kila sector tumefailure Yani Dunia ya Leo bado Kuna nchi zinatumia wauza nazi zilizoaribika kwenye ku spy informationSoka hamuliwezi, ila mkiambiwa muwekeze kwenye michezo mnayoiweza mnakaza fuvu. Mataifa yenye akili yalishatambua yana vipaji gani na ndo walikowekeza, hawahangaiki na soka wasiloliweza.
1.Kenya, Ethiopia na Jamaika - Riadha
2.USA na sasa South Sudan - Basketball
3.South Africa na India - Cricket
Tanzania mnashindwa nini kuwekeza kwenye Boxing ambako mnatisha Afrika yote? Mbona Rashid Matumla na wenzake walishawaletea mikanda mingi ya Africa ila kwenye soka hamjawahi kuleta kombe kubwa? Shida yenu ni nini?
Chumbi ndo mchezo gani?? Tbc ni janga la taifaTbc wanatutangazia chumbi
Pole sana, CHAWA walikuwa washandaa bango la kumsifia nanii, Mungu akasema ngoja niwaonyeshe mimi ni zaidi yenu.nimebeti goal goal. sasa naona jamaa wanacheza mdako tuu hapa
Wanazidiwa uzalendo na tveTbc wanatutangazia chumbi
ah wewe sie ni wajinga tuu hatujifunzi tukishaanzisha uhamasishaji basi ujue mechi intupaliaPole sana, CHAWA walikuwa washandaa bango la kumsifia nanii, Mungu akasema ngoja niwaonyeshe mimi ni zaidi yenu.
Kabisaa ngono na pombe kama kule Bigbrother tunapaweza.tuwekeze kwenye ngono tuu basii tunajichelewesha wenyewe
Tuombe kamati ya Olympic waongeze mchezo wa "kusifia /uchawa" tutapata medali ya dhahabu.Kabisaa ngono na pombe kama kule Bigbrother tunapaweza.
Karia ni muhuni na makocha timu za taifa ni tatizo.Pamoja nakuwa na ligi bora ila taifa stars nikichomi