Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Umeongea kwa machungu sana.Kama taifa tunasafari kubwa sana ya kisoka Kwa kweli hii mifumo ya kuokota wachezaji mitaani afu wanakua tegemezi Kwa taifa itatuchukua mda mrefu sana kupiga atua kubwa kisoka
overrated!Kwani hadi sasa Wydad wamemtengea kiasi gani kama sio zaidi ya bilion moja? Sasa wao inamaana hawaoni kitu kwa Mzize?
Fafanua Mzize hana hatia ni umemaanisha nini MkuuMpaka hapaa Mzizee Hana hatia,Fei hamna kitu.kibabage Badoo,Barua at least.
Feisal akitoka for mudathir as number 10. this game ita changeMpaka hapaa Mzizee Hana hatia,Fei hamna kitu.kibabage Badoo,Barua at least.
Kuwa mzalendo mkuu🤣Lolote liwakute
Mpigwe tu aseeeHamna kocha hakuna timu hapa kusema kweli.
Hujui mpira au ushabiki wa usimba na Yanga ndio unaokusumbuaoverrated!
Achana na story za mitandaoni, Wydad hawajasema kitu na mambo yao ni siri.
Shosti upo Spain au Brazil?Hujui mpira au ushabiki wa usimba na Yanga ndio unaokusumbua