Leo kanji lazima tumfurahishe ajute kuzaliwaTanzania shinda upo kwenye mikeka yangu yote
Tatizo la hii timu miaka ya karibuni imekuwa too defensive minded. Hii inafanya hata ushindi kupatikana inakuwa ngumu kwa sababu nafasi hazitengenezwi za kutoshaHatimae defence imewekwa ya kueleweka
5k kwa 2k
Nina ncard yangu? Nimekata kwa wakala wao buku2 kamiliHujalanguliwa ?
Nipo hapa VVIP na waheshimiwa wenzanguUmekuja uwanjani?