Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 944
- 1,682
Kwanini Jezi za wachezaji wa Taifa stars hazina majina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ligi yetu inabebwa na wachezaji wageni ila tuna average player wengi sana wazawa na ndio maana unakuta wachezaji wetu wengi soka la nje linawashindaHahahahaha
Hivi inawezekanaje hawa Ethiopia kwao kuna vita ligi imesimama lakini wanacheza mpira unaoeleweka tofauti na sisi?
Hizi ni laana za masisiemu
Wataweka sasa hivimbona uzi hauendi live?
Sjajuja shida ninimbona uzi hauendi live?
Wamelala usingizi😁
Tanzania TUFUNGWE ili sifa zikurudie kuliko MACHAWA yanampa sifa mwana wa adamu.View attachment 3086836
Kila la Heri Taifa Stars.
WAPAPAMBANAJI WETU WA LEO.
View attachment 3087061