FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024

FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024

Tanzania ligi yetu inabebwa na wachezaji wageni ila tuna average player wengi sana wazawa na ndio maana unakuta wachezaji wetu wengi soka la nje linawashinda
Seriously ukiangalia vile tu wanacheza na hali ya kisiasa nchini kwao inatia aibu.

Wachezaji wao wako na football IQ, wanauelewa mchezo, wachezaji wetu wanarukaruka.

Kwani Ethiopia wana academy za kimataifa kwao?

Inafikirisha
 
Seriously ukiangalia vile tu wanacheza na hali ya kisiasa nchini kwao inatia aibu.

Wachezaji wao wako na football IQ, wanauelewa mchezo, wachezaji wetu wanarukaruka.

Kwani Ethiopia wana academy za kimataifa kwao?

Inafikirisha
Kelele za vyombo vya habari ndio zinatupumbaza ila ki soka bado sana wewe ona watoto wa Ethiopia wanavyocheza mpira unaoleweka kana kwamba wamepata mafunzo makubwa ya soka kwenye academy za kisasa
 
Huyo Feisal unamuonea wapi wakati Taifa stars inabutua tu mpira uende mbele huku tukiwa tumezidiwa. Feisal anaruka ruka tu
A least akishika mpira unaona Kuna kitu anacho tofauti nao wengine wanakimbia kimbia tu
 
Back
Top Bottom