Ndio bossUyu mzize ndio ana thamani ya bilioni mbili
GarashaUyu mzize ndio ana thamani ya bilioni mbili
Pacome siitafika bilioni 100Ndio bosbas
hapa hakuna kununua wachezaji wa wapinzani ๐๐๐๐๐Mpira tunaupenda lakini hatuujui
Wachezaji wetu hawaelewi nini wanafanya uwanjani, kila mtu kivyakevyake tu
Naunga mkono hoja ๐คฃ ๐Tupige mnada Kila mtu apate chake
๐๐๐๐๐๐ Ukisikiliza vyombo vya habari unaambiwa ana thamani ya Bilioni mbili kweli warabu walivyo serious na soka vile watoe bilioni mbili Kwa mchezaji kama huyuHii nchi kweli ina mizaa ivi huyu mzize imekuaje kuaje mpaka akawa mcheza mpira.