Safi sana kwa kweli...Kipa aliufuata mpira akaucheza lakini mpira ulikuwa na kasi ukampita na kuingia wavuni
Wydad 1-1 Mamelody
Amepiga cha piliSasa hapa tuone kama Wydad atapoteza muda
Dakika ya ngapi saiviBao bora la mashindano
Atakujibu GENTAMYCINEWakuu nilikuwa pori ndio naingia town. Derby imeishaje vile? Samahani kwa usumbufu
Sio rahisi. Ngoja hao ndugu zako waende kwa madiba. Utakuwa unasikia anapigwa staili za mbwa ila milio ndio ya pakaMamelody wakiendeleza mpira wa ustaa watapigwa nnje ndani
Sio rahisi. Ngoja hao ndugu zako waende kwa madiba. Utakuwa unasikia anapigwa staili za mbwa ila milio ndio ya paka
Sio rahisi. Ngoja hao ndugu zako waende kwa madiba. Utakuwa unasikia anapigwa staili za mbwa ila milio ndio ya paka