Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Watu hawatafakari kabisa hakuna kitu kigumu kama kufungua codes za timu iliyopaki basi, maana ukibugi tu steps utapigwa counter attacks za hatari na kufungwa wewe.mamelody anachukua ndoo hawa al ahly walikuwa wanapaki sana basi. uko kwao wakishambulia tuu imekula.
Mamelodi Cairo ni kwao hawana wasi wasiKwa makosa haya ya Mamelody, CAIRO hawachomokki..
Naona ALHY wakinyanyua NDOO
Zilikua habari za kujifarijiwadau goli laugenini sihalipo?
Hizo kanuni haikua zimepitwa na wakati kipindi nyinyi mnaingia makundi ya CAF kwa mbinde. Zimepitwa na wakati baada ya kutolewa na Al Ahly!Simba hakupoteza game yoyote,kilichomtoa ni kanuni tu ambazo zimepitwa na wakati
Mamelodi Cairo ni kwao hawana wasi wasi
Alafu hawa Mamenlod wanacheza kama Yanga?mamelody anachukua ndoo hawa al ahly walikuwa wanapaki sana basi. uko kwao wakishambulia tuu imekula.
Watu hawatafakari kabisa hakuna kitu kigumu kama kufungua codes za timu iliyopaki basi, maana ukibugi tu steps utapigwa counter attacks za hatari na kufungwa wewe.
Nani kakudanganya?Wameshindwa kutumia chances... Cairo hawachomoki..
Jumatano sio mbali binti Wanjiru.Nani kakudanganya?
Tarehe 5 November mkuuSimba wanacheza lini nusu fainali yao mkuu
Angalia matokeo ya Mamelodi away ndio utajua hawana home and awayWameshindwa kutumia chances... Cairo hawachomoki..
Muwe na shukrani basi aliyewamanua tumemmanuaMji umetulia tuli, wangebahatisha kuvuka mwakarobo fc saa hizi tungekuwa hatuna raha.
Duh! kumbe bado hujatolewa......!!! kwa kweli Rage alikuwa sahihiKumbe tulikuwa tunashiriki
Ebu nitajie timu iliyonifunga na kunitoa
AahahaaHizo kanuni haikua zimepitwa na wakati kipindi nyinyi mnaingia makundi ya CAF kwa mbinde. Zimepitwa na wakati baada ya kutolewa na Al Ahly!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Lipowadau goli laugenini sihalipo?
Sawa dada umesikikaMuwe na shukrani basi aliyewamanua tumemmanua