changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
NdioKwamba Ahly kapaki basi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioKwamba Ahly kapaki basi ?
Basi Mamelodi katokaNdio
Wazee wa kujifariji, nani asiyemjua Al Ahly kadri anavyosonga mbele hubadilika kama Real Madrid katika mtoano [emoji848][emoji28]Sasa hivi mtaanza kuelewa ukubwa wa Simba
Najua hakucheza dhidi ya Ihefu au alikuwa mgonjwa?Hawa mamelody ni wabrazili watupu hii foul angepewa azizi key saiv mamelod ungekuta wako mbele
Hawapo kukufurahisha, wana tactics nyingi mno kwenye knockout stagesWaarabu muda wote wamepako basi tu wanaifanya game ionekane bored
Na wasipoangalia hawa Mamelodi watatolewaKwa sanaa ya macho tu unavutia hususani pale unapopata matokeo.
Ila kama unacheza hivi halafu haupati ushindi inakuwa ni kazi bure tu
Kushiriki au Makolokolo kusindikiza Vidume [emoji851]Utopolo hii michuano timu dhaifu haijawez kushiriki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196]
Hakuna wa kumtoa Ahly knockout stage hapo, wataishia tu kucheza pira biriani lisilokuwa na nyama ( ushindi)Na wasipoangalia hawa Mamelodi watatolewa
Sasa hiyo ndio maana halisi ya kuwepo kwa goli la ugenini.Waarabu muda wote wamepako basi tu wanaifanya game ionekane bored
We waacheHakuna wa kumtoa Ahly knockout stage hapo, wataishia tu kucheza pira biriani lisilokuwa na nyama ( ushindi)
Roho za kimaskini ili Mamelodi Sundowns atolewe uendelee kujifariji na MBUMBUMBU SC yenu kuwa ni timu bora [emoji4]Ukiachana na Simba, Al ahly ndo timu yangu bora ya muda wote hivyo nawatakia ushindi mnono leo
Acha tuoneLolote linawezekana
AahaaaaaRoho za kimaskini ili Mamelodi Sundowns atolewe uendelee kujifariji na MBUMBUMBU SC yenu kuwa ni timu bora [emoji4]
Hao Mamelodi miaka yote hata champions league ni hivyo hivyo, wanaupiga mwingi mwishoni wanatokaWe waache
Kule Misri kama gemu itaisha hivi inabidi wakatafute goli la ugenini