Ni kweli mkuu unaweza kudhani sio bongoAzam TV wajifunze kitu kwenye camera hawa AFL wapo vizuri kwenye camera angles
Inapigwa lini!?Na ya Wydad wataionyesha hapa DStv?
ModeratersAkina na nani?
Na kivipi?
KajipataHuyu Mazembe wa leo sio yule wa mwaka jana
🤣🤣🤣Wi-fi ya hapa ni dusko tu yani sekunde mbili unaachiwa sekunde ya tatu wanakata, kuirudisha tena ni mpaka nusu saa
Leo leoInapigwa lini!?