Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Nashukuru mkuuMechi iko live Rwanda Tv ..K24..
Safi sana..
Tusio na Azam tumetulia zetu maghetoni...🥂🍹🥂🍺🍺🍺
Nipo na DStv na sikijua kama wanaonyesha
Asanbteni saanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru mkuuMechi iko live Rwanda Tv ..K24..
Safi sana..
Tusio na Azam tumetulia zetu maghetoni...🥂🍹🥂🍺🍺🍺
Naunga mkono hoja yako.Nimewa include kumbuka hii game haituhusu kabisa lakini watu wamejaa
Ukiangalia nchi za wenzetu kwa mechi zisizowahusu huwa hazijai kabisa
Angalau Algeria wao wanajitahidi
Naunga mkono hoja yako.Nimewa include kumbuka hii game haituhusu kabisa lakini watu wamejaa
Ukiangalia nchi za wenzetu kwa mechi zisizowahusu huwa hazijai kabisa
Angalau Algeria wao wanajitahidi
Kabisaa...Nashukuru mkuu
Nipo na DStv na sikijua kama wanaonyesha
Asanbteni saanaa
Na ya Wydad wataionyesha hapa DStv?Kabisaa...
🤣🤣🤣
Enjoy
Ok hata azam hiyo channel ipoMechi iko live Rwanda Tv ..K24..
Safi sana..
Tusio na Azam tumetulia zetu maghetoni...🥂🍹🥂🍺🍺🍺
Hii ilikuwa lini mkuu?Mazembe anajilia my wake View attachment 2789480
Kidogo naona K24 wana quality nzuri ya pichaWachezaji washainhia uwanjani
Sina uhakika mkuu, mimi pia nimekutana nayo tuHii ilikuwa lini mkuu?