Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ufala basi...Timu kutoka nje ya nchi ina tumia uwanja wetu kuchezea super league alafu kuna mijitu ina jiita mikubwa ipo tu inaangalia kwenye TV
Ni kote mkuuTunaotumia Azam Max kuna kunata nata kwa picha.
Ni kwangu tu au hata huko kwenu nyumbani?
Hata tuliopo kwa mkapa picha ina nata nataTunaotumia Azam Max kuna kunata nata kwa picha.
Ni kwangu tu au hata huko kwenu nyumbani?
Kesho tupo hapo kumbandua mume wenu AzamTimu kutoka nje ya nchi ina tumia uwanja wetu kuchezea super league alafu kuna mijitu ina jiita mikubwa ipo tu inaangalia kwenye TV
Tulia dawa iingieAcha ufala basi...
Pata burudani sepa
Kumependeza sanaaLive Leo Kutoka Lupaso
Nenda kwenye peji ya FIFA.comMwenye link tunaweza iona hii game please share
Ndo super league yenu hiyo ?Kesho tupo hapo kumbandua mume wenu Azam
Kitu yacine tvTunaotumia Azam Max kuna kunata nata kwa picha.
Ni kwangu tu au hata huko kwenu nyumbani?
Tz Kuna maskini waliopambana wakapata hela [emoji23][emoji23][emoji23]yani vibopa wanawahi siti hatariNitaka nikae siti ya VIP na mindala yangu nikijua watu watakuwa finyu ila kuna vibopa nikama vililala hapa hapa
Usiangalie kwenye simu,kisa WIFI ya TTCL ni free,wakati upo usanjani hapohapo,angalia moja kwa moja,mkuu.Hata tuliopo kwa mkapa picha ina nata nata
Vikosi vya timu zote mbili
Mwenyeji Tp Mazembe
View attachment 2789365
Mgeni Esperence De Tunis View attachment 2789364
Akili za mikia kutwa wanaiota YANGA. Ukilala YANGA,ukiamka YANGA. Mashabiki wa YANGA hawana time,wamewaachia umbumbumbu wenu,muendelee kupuyanga naoMashabiki wa yanga kwa kupenda vya bure, huwezi amini wamekaribia kujaza uwanja hapa