zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
kama al ahly juzi iliniuma sanaTp Mazembe wanakosa nafasi ya wazi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama al ahly juzi iliniuma sanaTp Mazembe wanakosa nafasi ya wazi hapa
pale ally salum ange pangua wamalizieHatari paleeeee aaah kipa kadaka
Nadhani hauijui EsperanceHii ni fact
Hata we unajua hilo
Duh
😂😂😂 sisi hatunaga kazi.Wabongo wanashangalia kweli kweli.
Wanachora saba kabisa[mention]TANESCO [/mention] mnainamishwa
Kweli mkuu maana ni miezi 5 tu iliyopita tangu watinge robo fainali ya Cafcl huku Corona ikiwa imepamba moto mnootena wamefika robo kwa corona effect
Washinde nyingi kabisaMazembe Wa Africa Wenzetu..acha washinde.
Aisee, watu wamejitokeza kwa wingi uwanjani!Wabongo wanashangalia kweli kweli.
Nani mwarabu?Jama anaforce penati
🤣🤣🤣 Si mchezo Namba 13 anapanda wenzieHatari paleeeee aaah kipa kadaka
MkongoNani mwarabu?