Aisew Onyango angeondoka ingekula kwetu onyango na Inonga ni watu na nusu yani leo ukuta umekomaaaa hautaki kuruhusu bao
Kibu hajawahi kuperfom zaidi ya hapo,Kibu D ni mzigo kwa kikosi cha leo
Kibu analinda nn au nn kafanya? Namkumbuka game changer BM3Away game sio za kuweka double striker, hapo ni kucheza kwa tahadhari kubwa kulinda ulichonacho
Eti yule alitumwa kutuvuruga sio bureYule mzungu pimbi* sana alitaka kumtoa Onyango.
Hii kali ya dk 45Kibu hajawahi kuperfom zaidi ya hapo,
Ubongo na mwili havifanyi maamzi kwa pamoja, kazi yake ni kuvuta mpira mpaka akishaona wenzake wamekabwa ndo anatoa pass.
Hawa de agosto wameshaelekea kibra sasa simba ilitakiwa uwapigilie misumali ya uhakika na magori mengi ndo mtaji..Una maanisha nini unavyosema Jihad?
Timu ishapata goli la kuongoza unataka Jihad ili upate nini?
Hapo cha msingi ni kushikilia bomba tu
Mzungu tahaira yule. Alitaka kutuondolea visu katika timu... Mgunda timu achukue tu,, wamuongezee mkatabaYule mzungu pimbi* sana alitaka kumtoa Onyango.
Mwenda uwezo bado, mgunda apewe timu alafu apewe na watu wazuri na imani atafikisha simba mbali, mgunda kamuanzisha kibu D sio kwa sababu ni mzuri au anajua kuliko sakho kakuanzisha kwa sababu ya kukaba nguvu zake zimsaidie mwenda
View attachment 2381698
Petro wanatisha aisee