Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Nimeshachungulia vibuyu [emoji23] ni SIMBAMi sijui shauli zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshachungulia vibuyu [emoji23] ni SIMBAMi sijui shauli zake
Hahaha[emoji23]Achimwene wa Makete#### I'd mpya ya aibu ya Matola...asiwasumbue huyo anaharufu ya mnyaaaa
Mara ngapi!?[emoji23]Simba sasa msilete undezi, mpeni timu juma mgunda
Sii wanasema wanataka leta kocha mzunguMara ngapi!?[emoji23]
EtiSimba ni ngumu kupata ushindi leo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kalpana kwamba sioni au?? Mm naujua mpira, timu is not all about quality players, kuna mengi mno ndani yake, spirit inajengwaje kwa wachezaji, aina ya vyakula, program ya mazoezi na zaidi wachezaji kuaminishwa kuwa wao ni wakubwa and they have to act as a matured men.Siamini kama hii point imetoka kwako leo mtani. Hongera sana na wenye sikio na wasikie
Kwahyo unajitoa akili kuniita Broo ama?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa kwamba sioni au?? Mm naujua mpira, timu is not all about quality players bro, kuna mengi mno ndani yake, spirit inajengwaje kwa wachezaji, aina ya vyakula, program ya mazoezi na zaidi wachezaji kuaminishwa kuwa wao ni wakubwa and they have to act as a matured men.
Ukiingalia Simba haina wachezaji hatari, ila wana spirit ya kupambania kitu fulani, hivyo hiyo spirit ndio wanapaswa kuitumia YANGA.
Tayari una quality players haya unawatumiaje?? Ushindi sio uwanjani tu hata nje unatafutwa (hapa sio kununua game) yaan timu inapewa moral and material support in well and proper manner.
YANGA TUJIFUNZE, KUJIFUNZA SIO KOSA, HATA SIMBA WALIJIFUNZA VINGI KUTOKA YANGA YA MANJI na wakaelewa kuwa mpira ni uwekezaji na sio UCHAWI.
Kwanza anajisahaulisha namungo Ni wakubwa kuliko Uto..Akibisha mwekee link ya CAFSisi hatukukutuma kushabikia Uto
Namungo ni team kubwa kuliko Yanga according to CAF ranks, kwahiyo ni kawaida.FT: Cd de Agosto 2-6 Namungo FC
Kwa mujibu wa CAF Namungo ni kubwa kuliko Yanga.Timu yenyewe kumbe ilifungwa sita na Namungo
Sio Tanzania ?Tuliosafiri na Simba hadi Angola tujuane plz.
Nipo hapa kuishangilia team makini toka msimbazi
#nguvu moja
Namungo ni team kubwa kama sisi tu, ndomaana kwenye ranks za CAF hamuikuti. Kwahiyo Agosto anafungwa na wakubwa tu.FT: Cd de Agosto 2-6 Namungo FC
Kwani HILAL sio kibonde kama mlivyosema hapo awali?Yaani Hawa vibonde sisi ndo tunawapenda.
Maana kuingia makundi tu Kuna hela.hawa ni daraja kwetu.
shida hamuongei vizuri na CAF wakawapangia vibonde
Acha roho mbaya, ndio huyu huyuKushinda tumeshinda ashukuriwe mungu, ila benchi LA ufundi wasijerudia makosa ya kumuingiza bocco ,sijui ni nan anamlinda huyo mwamba hapo simba ,yaan kaingia tu tumeanza kushambuliwa sana.
Tukisema tunaambiwa hatujui mpira ,kiukwel sabu ya kibu alipaswa aingie sacko phiri angebak pale mbele ingeleta uhai zaid
Hongera mnyamaMungu Ibariki SSC....
Simba...Nguvu moja....
Ahsante kwa kuniita Best...