We jitoe ufahamu tuu...Bina ndo unaongea na simu ama? 🤣🤣🤣
😁HABAHATISHI MKUU ANAFANYA VITU KWA UHAKIKA HUYO SIYO SHOMARI KAPOMBE.
keshapigwa kimoja hukoYanga waongeze kapresha kidogo.
Tqhqdhqri zisizidi sana.
eti offside
Aysee mlivyo 🦁tukebehi. Hiyo kheri isiwe nanyi Hahaha
Hawachoki ata uwapige 4Waarabu walijifunza wapi kushangilia hivyo? Jamaa ni vichaa wa mpira
Nilkua najiuliza nani katu fungia thread kwenye app ..kumbe kuna mtu katuma li link mna boa sana aseee ,hadi thread saiv ina tuleta kwenye website
Mpira unetulia Ila Yanga ndio hawajatulia. Wafunguke tu waache uoga.Aisee, mpira bado hatujatulia