Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli nitashukuru,Mechi ya kesho kwa wale wa dstv itaoneshwa channel no 275 k24.
Mechi ipi boss na saa ngap?Mechi ya kesho kwa wale wa dstv itaoneshwa channel no 275 k24
Na ndilo lilitutoa dhidi ya UD Songo, pia dhidi ya Jwaneng Galaxy.Hilo goli la ugenini ndio limewafanya sasa hivi mpo makundi CAF vinginevyo sasa hivi zingekua habari zingine
Mkwambiku derby unaweka historia gani sasa na wewe 😂😂😂Leo ndio mwisho wa ngebe za Simba kujisifia kucheza ligi za madume ya mamba kama Al Ahly na Wydad!
Yaani eti mi nifungue maduka Buza kwa Mpalanger halafu eti nije nijilinganishe utajiri na Bakhressa sijui Rostam wapi na wapi!?
Kiwango Cha Mchezaji mmoja wa Al Ahly ni sawa ukusanye Chama, Saidoo, Baleke, Mzamiru, Kanoute na Ngoma! Tuliona kwa Mkapa Al Ahly walicheza kwa akili tu wakitengeneza nafasi nyingi za kufunga uchawi ukaepusha aibu mbele ya Rais wa Fifa na Wenger huku wenzao kina Kibu wakitumia maguvu na kurukaruka tu bila akili Wala mipango ya kufunga!
Mshahara wa mchezaji mmoja tu wa Al Ahly sawasawa ujumlishe mishahara kumi ya wachezaji wa Simba!
Baada ya Simba kukandwa 5G huko Misri Leo, kifuatacho usiku wa Leo itakuwa ni mgogoro mkubwa utakaozuka Msimbazi na mashabiki kudai kuwa wamegundua Simba ni msindikizaji tu ligi zote na wapo wataolianzisha kuwa kocha hafai na huku mazuzu mbumbumbu wengine wakimtetea!
Ila inajulikana tangu mwanzo mechi za Simba ni mbili tu super cup na Leo wataumaliza mwendo na kubeba kombe la kufa kiume!
Hatutaki lawama mshangao wala makelele ya kuonewa huko Misri wakati msuli wenyewe kiduchu!
Kwenye msafara wa Mamba kenge pia huwa wamo! Leo itathibitika maana ya msemo huu na Simba itarudi kwenye mavumbi yake ya siku zote, hakuna kombe lolote kwa msimu wa tatu, ikumbukwe ngao ya jamii ni mbao tu sio kombe la ligi!
Simba ni underdog yenye makelele makubwa!
Naitakia Al Ahly ushindi wa 5G dhidi ya Simba ili mji utulie kimyaaaa!
Aziz Kiiiiiiiii!! Gooooooool! Goli la tatu! Ni hat trick ya kihistoria, hat trick ya derby ya Dar-es-salaam!
Lini nlimkubali?Leo unamkataa?
Kuna kitu huyo mzee alikufanya you need medical assistanceSasa kama haiongelewi na FIFA, wala viongozi wake kina Wenger na Infantino unafikiri wakuiongelea ni nani kama sio mimi na Mwakalebela?
Ni kweli dada hata Enyimba dunia imeiona.Mimi leo hata tukitolewa sina stelesi kabisaaa...dunia imeshaona Simba ni nani....na imethubutu...kutoka droo na hii alhyl ya moto yenye wachezaji wa moto wanalipwa mishahara ya moto si mchezo...
Viva Simbaa
Simba nguvu Moyaaaaa
"nguvu zangu nitaziweka siku ya mechi ya Vilaza FC na hawa miamba..."Mechi hii ikiisha nguvu zangu nitaziweka siku ya mechi ya Vilaza FC na hawa miamba...yani nitacheeeka mnooo..maana hawana timu ya kumtoa huyu...
Mkuu mbona FIFA wanatuongelea na juzi tu walitutumia barua ya kutupongeza baada ya kuchukua ubingwa wa ligi.Sasa kama haiongelewi na FIFA, wala viongozi wake kina Wenger na Infantino unafikiri wakuiongelea ni nani kama sio mimi na Mwakalebela?
Siku zote kasoo leoLini nlimkubali?
How long have you been a therapist?Kuna kitu huyo mzee alikufanya you need medical assistance
Leo mtaweka historia ya kapu la magoliUmeandika sana...ila Simba kashaweka historia nyinyi mtakuja nyuma kama kawaida...labda msusie mashindano
Nilicho na uhakika nacho kukuhusu ni jinsia yako tu kuwa wewe ni ke.Leo ndio mwisho wa ngebe za Simba kujisifia kucheza ligi za madume ya mamba kama Al Ahly na Wydad!
Yaani eti mi nifungue maduka Buza kwa Mpalanger halafu eti nije nijilinganishe utajiri na Bakhressa sijui Rostam wapi na wapi!?
Kiwango Cha Mchezaji mmoja wa Al Ahly ni sawa ukusanye Chama, Saidoo, Baleke, Mzamiru, Kanoute na Ngoma! Tuliona kwa Mkapa Al Ahly walicheza kwa akili tu wakitengeneza nafasi nyingi za kufunga uchawi ukaepusha aibu mbele ya Rais wa Fifa na Wenger huku wenzao kina Kibu wakitumia maguvu na kurukaruka tu bila akili Wala mipango ya kufunga!
Mshahara wa mchezaji mmoja tu wa Al Ahly sawasawa ujumlishe mishahara kumi ya wachezaji wa Simba!
Baada ya Simba kukandwa 5G huko Misri Leo, kifuatacho usiku wa Leo itakuwa ni mgogoro mkubwa utakaozuka Msimbazi na mashabiki kudai kuwa wamegundua Simba ni msindikizaji tu ligi zote na wapo wataolianzisha kuwa kocha hafai na huku mazuzu mbumbumbu wengine wakimtetea!
Ila inajulikana tangu mwanzo mechi za Simba ni mbili tu super cup na Leo wataumaliza mwendo na kubeba kombe la kufa kiume!
Hatutaki lawama mshangao wala makelele ya kuonewa huko Misri wakati msuli wenyewe kiduchu!
Kwenye msafara wa Mamba kenge pia huwa wamo! Leo itathibitika maana ya msemo huu na Simba itarudi kwenye mavumbi yake ya siku zote, hakuna kombe lolote kwa msimu wa tatu, ikumbukwe ngao ya jamii ni mbao tu sio kombe la ligi!
Simba ni underdog yenye makelele makubwa!
Naitakia Al Ahly ushindi wa 5G dhidi ya Simba ili mji utulie kimyaaaa!
Aziz Kiiiiiiiii!! Gooooooool! Goli la tatu! Ni hat trick ya kihistoria, hat trick ya derby ya Dar-es-salaam!
Kuna sehemu screw zimelegea wewe, tangu asubuh unamuongelea mwanaume mwenzako grow upHow long have you been a therapist?
Mwakalebela Jr una nini lakini?
Hii nayo ni history sijawahi kuona giant ana odds 20Umeandika sana...ila Simba kashaweka historia nyinyi mtakuja nyuma kama kawaida...labda msusie mashindano
Kumbe mwanaume hatakiwi kumuongelea mwanaume mwenzake?Kuna sehemu screw zimelegea wewe, tangu asubuh unamuongelea mwanaume mwenzako grow up
Mzigo mkubwa umewekwa kwa AhlyHii nayo ni history sijawahi kuona giant ana odds 20View attachment 2791149