Hamuozi wala hamnuki nyie🤣🤣🤣Km kawaida
kifaza sana alafu hata ufaza wenyewe hawanaHapa ingekua ni Yanga wangeshinda hii gemu.... Simba tunacheza kifaza sana....
AahaaaaWale waliosema hakuana away goal waje sasa kupiga penalties
Ngoja tuone Mwezi ujao sio mbali.Al Ahyl ni jina tu linawabeba
Hawana maajabu yeyote
Dj lete lile kombe lao lenye korodaniMnakufa kiume🤣🤣
Umehamia kwenye mikeka tenaWale wamikeka tuomesheni mikeka yenu
Wazee wa kuweka rekodiTumekufa kiume, simba guvu moya
Walijua tunakula 5Wale wamikeka tuomesheni mikeka yenu