Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,135
- 1,826
Ally 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona wamedeviate ktk vikosi na mifumo uliyo ipendekeza ngoja tuone.ROBERTINHO AISHIE HUKO HUKO...
PUMBAVU ZAKE.
4-0
Aibu ya kwanza umeionesha wewe yami Great Thinker unaandika "Haibu"Haibu inaenda kulikumba Taifa langu.
Al-ahal 4 - 0 Mikia fc.
Utaliwa hivyo hivyo tuliaMi sibetigi
Umeandika kizalendo🤣🤣🤣Nifah huyu huyu😳Kwamba mwenzetu ulitegesha alarm ikifika saa sita kamili upandishe thread? Anyways, ngoja tuone kama tunakamilisha ratiba au vipi.
Itabidi wawe 22 ili iwe hivyoHamna timu isiyo fungika lakini inabidi wajitume mara mbili zaidi, wacheze compact sana na wafanye pressing ya maana yaani akigusa mpira mchezaji wa Al ahly wahakikishe watu wawili tayari wamefika yaani wasipate muda wa kufikiria ..
ilikuwaje ukaanza kushabikia mpira mbona uwezo wako ni mdogo sana.Mimi leo hata tukitolewa sina stelesi kabisaaa...dunia imeshaona Simba ni nani....na imethubutu...kutoka droo na hii alhyl ya moto yenye wachezaji wa moto wanalipwa mishahara ya moto si mchezo...
Viva Simbaa
Simba nguvu Moyaaaaa
Subutuu sidhaniWakuu DSTV ni chanel gani wanaonesha?
Kwa kupigwa nyingiSimba ataushangaza ulimwengu, mark my word
Kwa kuchezea kichapo cha mbwa-koko, ataushangaza ulimwengu.Simba ataushangaza ulimwengu, mark my word
Wameifunga station ambayo ilipaswa kuonesha mechi.Kwa kupigwa nyingi