Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WalaaniweTANESCO tena
Uliingia kwa vigezo gani? Viti maalumu wahedAcha tutoke maana haitakuwa sawa na ambaye hakuingia kabisa.
Tutatoka tukiwa tumeionesha dunia mpira wa Tanzania jinsi tulivyo u-inspire.
Tutatoka tukiwa tume wave flag ya Taifa na kuthibitisha kuwa haikuwa makosa kufanya uzinduzi kwenye ardhi ya Tanzania huku mwakilishi akiwa ni Simba.
Tutatoka tukiwa tumeacha alama ambayo itadumu milele na haijikufutika kuwa Simba ambao kikosi chao hakizidi thamani ya 7 Bilioni kilimpeleka putaputa Al Ahly ambaye mchezaji wake mmoja alisajiliwa kwa 12 Bilion.
Tutatoka tukiwa tumeiachia Dunia maswli mengi kwanini Club namba moja Duniani kwa mataji mengi leo hii ikutane na upinzani mkali hivi tena katika ardhi ya nyumbani?
Baada ya hayo yote ndio itapopatikana sababu ya Tanzania kuwa mwenyeji na mfunguzi wa AFCON.
PoleniTANESCO tena
kwa mkapa iwe bahati kwao amekimbiza dk 90Kama bahati ina play role kwanini usifikirie hata wao kutofungwa na sisi hapa kwa Mkapa haikuwa ni bahati kwao?
Hiyo mvua inanyesha huko Misri (Cairo)?SIMBA WACHAWI SANA..tok asubuh mvua inanyesha
Nina bein sports game iko chanel ganiTafuta TNT sports 2 kwenye simu yako kwa google.
Vigezo ni eidha timu iwe na mafanikio makubwa au iwe na fans wengiUliingia kwa vigezo gani? Viti maalumu wahed
Acha wacheze hivyo hivyo. Utakapofunguka watakupiga. Falsafa ya ndani ya makocha wengi huwa ni kulinda kwanza, kushambulia itakapowezekanaNi muda gani simba wataonyesha wanahitaji bao la kuongoza. Maana hadi hapa tumetolewa
Watanzania kwa kujifariji hatujambo!Acha tutoke maana haitakuwa sawa na ambaye hakuingia kabisa.
Tutatoka tukiwa tumeionesha dunia mpira wa Tanzania jinsi tulivyo u-inspire.
Tutatoka tukiwa tume wave flag ya Taifa na kuthibitisha kuwa haikuwa makosa kufanya uzinduzi kwenye ardhi ya Tanzania huku mwakilishi akiwa ni Simba.
Tutatoka tukiwa tumeacha alama ambayo itadumu milele na haijikufutika kuwa Simba ambao kikosi chao hakizidi thamani ya 7 Bilioni kilimpeleka putaputa Al Ahly ambaye mchezaji wake mmoja alisajiliwa kwa 12 Bilion.
Tutatoka tukiwa tumeiachia Dunia maswli mengi kwanini Club namba moja Duniani kwa mataji mengi leo hii ikutane na upinzani mkali hivi tena katika ardhi ya nyumbani?
Baada ya hayo yote ndio itapopatikana sababu ya Tanzania kuwa mwenyeji na mfunguzi wa AFCON.
daaah kazingua sanaTau kakosa goli la wazi....